Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,085
- 1,741
Hi?
Greenhouse Tanzania ni wataalam wa ujenzi wa wa greenhouse na mifumo yote ya umwagiliaji. Pia ni wataalam wa kilimo na hutoa ushauri juu ya kilimo na changamoto zinazompata mkulima. Pia husaidia kutafuta masoko ya mazao.
Ghalama zetu ni nafuu sn na tunafanya kz nchi nzima.
Kwa mfano,
greenhouse yenye ukubwa wa mita 8×20
Hii tunajenga Kwa milioni 6
Hii tunakujengea Kwa bomba za chuma.
Tunakuwekea tanki la maji la lita 1000 na stand yake ya futi 6.
Tunakuwekea mfumo wa flat irrigation.
Tunakufungia water filter
Tunakulimia na kuliandaa shamba vizuri.
Na baada ya kukukabidhi greenhouse yako ukipanda mazao yako ya mwanzo tunakutembelea Kwa muda wa miezi mitatu kuona ni changamoto gani unazo kutana nazo.
Kwa wale watakao hitaji maelezo zaidi wanifate pm.
Greenhouse Tanzania ni wataalam wa ujenzi wa wa greenhouse na mifumo yote ya umwagiliaji. Pia ni wataalam wa kilimo na hutoa ushauri juu ya kilimo na changamoto zinazompata mkulima. Pia husaidia kutafuta masoko ya mazao.
Ghalama zetu ni nafuu sn na tunafanya kz nchi nzima.
Kwa mfano,
greenhouse yenye ukubwa wa mita 8×20
Hii tunajenga Kwa milioni 6
Hii tunakujengea Kwa bomba za chuma.
Tunakuwekea tanki la maji la lita 1000 na stand yake ya futi 6.
Tunakuwekea mfumo wa flat irrigation.
Tunakufungia water filter
Tunakulimia na kuliandaa shamba vizuri.
Na baada ya kukukabidhi greenhouse yako ukipanda mazao yako ya mwanzo tunakutembelea Kwa muda wa miezi mitatu kuona ni changamoto gani unazo kutana nazo.
Kwa wale watakao hitaji maelezo zaidi wanifate pm.