mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Watafufukuka tu amini.tume itakuwa na gwajima,mwamposa na wengine wengine.Tume hairudishi Roho zilizopotea au kufufua waliokwisha Kufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafufukuka tu amini.tume itakuwa na gwajima,mwamposa na wengine wengine.Tume hairudishi Roho zilizopotea au kufufua waliokwisha Kufa.
Hii ni 2019! Basi sawa.Mkuu, fanya issue zako, mambo ya watu achana nayo, unaweza ukawa na very limited facts kwenye hilo jambo
🥲Na ndio maana nimetoa angalizo, maana kuna jengo lilishawahi kuanguka kule posta na watu walikufa, na wahusika waliwekwa ndani na hatimae wakaachiwa, lakini waliopoteza maisha ndio imetoka,sasa kama naona kitu ambacho hata kwa macho tu kinatia shaka inabidi wahusika wakajiridhishe.
Lile liloanguka mwenye gorofa alikuwa anavunja kuta chini ili aongeze mafremu.tumeambiwa imeundwa tume.yaani Hadi kwa kesi hii nyepesi ambayo ushahidi wake upo wazi wanaunda time na kuwa lipa hela.hii ndo mwili mkubwa akili KISODATume hairudishi Roho zilizopotea au kufufua waliokwisha Kufa.
Wazushi hawaLile liloanguka mwenye gorofa alikuwa anavunja kuta chini ili aongeze mafremu.tumeambiwa imeundwa tume.yaani Hadi kwa kesi hii nyepesi ambayo ushahidi wake upo wazi wanaunda time na kuwa lipa hela.hii ndo mwili mkubwa akili KISODA
Na pia itagundulika hao ''wachangishaji'' ni ''wajanja'' wanaotumia hiyo fursa kupata fedha za kuendeshea maisha yao ya mbwembwe na kutesa.Usihofu, likianguka na kuua watu tutawakamata wote waliohusika, hadi wachangishaji nao watafikiwa
Ni mweupe kabisa. Angekua hata na abc za structure engineering labda angekuja na fact za maana.Mkuu, fanya issue zako, mambo ya watu achana nayo, unaweza ukawa na very limited facts kwenye hilo jambo
Uweeeeeeeeee...!! Sisi unatujua au unatusikia?Sidhani kama wanaweza kujenga jengo LA gharama kubwa kama hilo kwa wataalam wa kuokota jalalani
National hotel..!!Nimekumbuka lile la Chang'ombe miaka ileeee!!!
Nimekumbuka lile la Chang'ombe miaka ileeee!!!
Kwani kosa lake n lipi hapo? We mwenye uelewa si ungemueleza kuliko kumshit! Hapo hujamsaidia chochote. Kama ana wasiwasi kwa ujinga wake(kama unavyohisi),we mjanja mpe nondo. Kwani aliyejua lililoleta maafa itatokea ni nani? Lingeonekana kuwa imara lisingeshuka. Hivyo mleta mada nae,wasi wasi wake una tija.Mkuu, mambo ya ujenzi hayapimwi kwa macho, embu jiongeze kidogo.
Sio kwa nchi hiiHaya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Hahahah, kutahadharishana ni muhimu pia..Ila uwe makini kwa kuwa ukweli unaua.
Wazee wa Permit na Authorization...viingereza vingi kumbe upuuzi mtupu.Haya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Hivi hilo ghorofa lako bado lipo. Huu utakuwa mwaka wa 5 au zaidi kwa sasa.Dah! Nilikuwa na wasi wasi na ghorofa langu ambalo nimejengea nondo za milimita 12 sasa baada ya kuliona hili nimepata moyo. Ngoja nizichange nipandishe floor nyingine ziwe tatu!
Na huo ujirani ukojeUnaweza ukawa na hoja lakini Strength haipimwi kwa unene Wa beam! ingefaa ukaweka structure ikoje ili tuichambue!
Note: Jengo linaweza kuwa na column/beam nyembamba lakini zikawa ni nyingi ili kufanya load distribution kuwa safe!.
Kwahiyo ipendeze sasa kuangalia structure kwanza kabla ya kulaumu
Huo ujirani kati ya ghorofa moja na lingine ni kosa. Msingi hauko salama. Ama wa ghorofa la zamani au hata jipya. Ukubwa wa kiwanja cha kujenga ghorofa si salama. Pia ni kinyume na sheria ya mipango miji ukubwa wa kiwanja cha ghorofa unapaswa kuanzia 2000sqm mpaka 4000sqm, mpaka 8000sqm hadi 20,000sqm kwa ghorofa ndefu. Umbali unaanzia 10m mpaka 20m kwa mujibu wa sheria.Na huo ujirani ukoje
Hovyoo kabisaDah! Nilikuwa na wasi wasi na ghorofa langu ambalo nimejengea nondo za milimita 12 sasa baada ya kuliona hili nimepata moyo. Ngoja nizichange nipandishe floor nyingine ziwe tatu!