Limeuliza Jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu, nimeshangaa

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Jana pita pita yangu, nimeikuta jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu. Nia ilikuwa ya kununua na kufanyia mazoezi.
Nilidhani elfu 5 tu.
Najiuliza hivi mtanzania maskini ananua majezi ya club kwa bei hizi badala kutumia hela kusomesha watoto wake?
Hivi tumerogwa wapi
 
Kariakoo zipo hadi za buku ni wewe tu.
 
Jezi ji biashara kubwa za 2000 nenda kariakoo unapata kuanzia ulaya mpaka bongo yani 10,000 unaondoka na kabati
 
Hahahah mpira na starehe, na starehe sio kwa ajiili ya masikini
 
nyie wa Tandale kwa Tumbo hizi hamuwezi si kwa ajili yenu. hizi zinanunuliwa na watu wa mitaa flani flani hivi Dar
 
Msimu huu zitakuwa elfu 3
 
Umaskini wako mbaya sana, unaweza kusomesha mtoto kwa 45,000/- tshs?
 
Shule gani Ada Elf 45?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…