Limeuliza Jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu, nimeshangaa

Limeuliza Jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu, nimeshangaa

Jana pita pita yangu, nimeikuta jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu. Nia ilikuwa ya kununua na kufanyia mazoezi.
Nilidhani elfu 5 tu.
Najiuliza hivi mtanzania maskini ananua majezi ya club kwa bei hizi badala kutumia hela kusomesha watoto wake?
Hivi tumerogwa wapi
Za buku 5 zipo pia.
 
Jana pita pita yangu, nimeikuta jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu. Nia ilikuwa ya kununua na kufanyia mazoezi.
Nilidhani elfu 5 tu.
Najiuliza hivi mtanzania maskini ananua majezi ya club kwa bei hizi badala kutumia hela kusomesha watoto wake?
Hivi tumerogwa wapi
Malaria; ni aya ipi inaamrisha mazoezi?
 
Malaria; ni aya ipi inaamrisha mazoezi?
Mtume Muhammad (SAW) alisema:

"Muumin mwenye nguvu ni bora na mpendwa zaidi kwa Mwenyezi Mungu kuliko muumin dhaifu, ingawa wote wana kheri."
(Sahih Muslim, Hadithi 2664)
Hii inahimiza Waislamu kudumisha afya zao, ikiwemo kupitia mazoezi ya mwili ili kuwa wenye nguvu kimwili na kiimani.

2. Kujifunza michezo yenye manufaa

Mtume (SAW) pia alihimiza kujifunza michezo kama kupiga mishale, kupanda farasi, na kuogelea. Kwa mfano:

"Mfanyeni mtoto wako aogelee, apige mishale, na apande farasi."
(Hadithi hii imepokewa kwa mapokezi dhaifu, lakini inasisitiza umuhimu wa michezo yenye manufaa.)
 
Mtume Muhammad (SAW) alisema:


(Sahih Muslim, Hadithi 2664)
Hii inahimiza Waislamu kudumisha afya zao, ikiwemo kupitia mazoezi ya mwili ili kuwa wenye nguvu kimwili na kiimani.

2. Kujifunza michezo yenye manufaa

Mtume (SAW) pia alihimiza kujifunza michezo kama kupiga mishale, kupanda farasi, na kuogelea. Kwa mfano:


(Hadithi hii imepokewa kwa mapokezi dhaifu, lakini inasisitiza umuhimu wa michezo yenye manufaa.)
Ha ha ha! Kupiga mishale; huo sasa ukora. Noted.
 
Back
Top Bottom