Za buku 5 zipo pia.Jana pita pita yangu, nimeikuta jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu. Nia ilikuwa ya kununua na kufanyia mazoezi.
Nilidhani elfu 5 tu.
Najiuliza hivi mtanzania maskini ananua majezi ya club kwa bei hizi badala kutumia hela kusomesha watoto wake?
Hivi tumerogwa wapi
Malaria; ni aya ipi inaamrisha mazoezi?Jana pita pita yangu, nimeikuta jezi ya Yanga nimeambiwa 45 elfu. Nia ilikuwa ya kununua na kufanyia mazoezi.
Nilidhani elfu 5 tu.
Najiuliza hivi mtanzania maskini ananua majezi ya club kwa bei hizi badala kutumia hela kusomesha watoto wake?
Hivi tumerogwa wapi
Chuo cha ilmu akhera unapata.Shule gani Ada Elf 45?..
Mtume Muhammad (SAW) alisema:Malaria; ni aya ipi inaamrisha mazoezi?
(Sahih Muslim, Hadithi 2664)"Muumin mwenye nguvu ni bora na mpendwa zaidi kwa Mwenyezi Mungu kuliko muumin dhaifu, ingawa wote wana kheri."
(Hadithi hii imepokewa kwa mapokezi dhaifu, lakini inasisitiza umuhimu wa michezo yenye manufaa.)"Mfanyeni mtoto wako aogelee, apige mishale, na apande farasi."
Ha ha ha! Kupiga mishale; huo sasa ukora. Noted.Mtume Muhammad (SAW) alisema:
(Sahih Muslim, Hadithi 2664)
Hii inahimiza Waislamu kudumisha afya zao, ikiwemo kupitia mazoezi ya mwili ili kuwa wenye nguvu kimwili na kiimani.
2. Kujifunza michezo yenye manufaa
Mtume (SAW) pia alihimiza kujifunza michezo kama kupiga mishale, kupanda farasi, na kuogelea. Kwa mfano:
(Hadithi hii imepokewa kwa mapokezi dhaifu, lakini inasisitiza umuhimu wa michezo yenye manufaa.)