Linah amchukua Idris kulipa kisasi kwa Wema

Yaan alivo mzingua Amini niliumia kama ndo mimi
Kwa sababu Amini alimkubali kweli. Labda ndo maisha yaliharibikia hapo
Ushamba tu, Amini alimpenda Linah kutoka rohoni yaani kama Linah si star, maana kipindi hicho hakuwa juu kama sasa, huyu bi dada umaarufu ukamlevya akaingia king kuwa star lazima avuliwe chupi hovyo na ma star wa kiume, sasa Amini ameoa analea familia bila kokoro yeye kabaki kuwa golikipa wa mbo..o kila inayokuja mbele yake anadaka tu hajiangalii sura ilivyo nzito kama uji wa jana, akija kustuka kina amini wanamwambia skamoo bila kujua ni Linah demu wake wa zamani.
 
Mtaani kumechacha balaa mengine ni kujitoa ufahamu tu
 
udongo wake mbaya sana....hapo alipo anaonekana ypo kwenye..... 40 +

 
Bada ya kuachana na amin akawa na nagar mkaka mmoja wa mjini wamekaa miaka 4 kwenye uchumba jamaa akamuacha na sasa hiv ameoa yaan uyo ana laana ya amini na sijui kama ataolewa amin alimpenda sana na yy ndo alimwacha mwenzie
 
Ila Linah Sijui ana Nini .. Anatemwa Kila Mara hakai na Mwanaume..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…