Linah amchukua Idris kulipa kisasi kwa Wema

Linah amchukua Idris kulipa kisasi kwa Wema

Huyu Linah na hii sura yake asipo angalia atakuwa na wapenzi tu mwisho wa siku akose mume, angetulia na Amini sasa angekuwa anaishi kama mke wa mtu na si mpenzi tu, sura yake haichelewi kuzeeka maana.!
Jmani kwn sura yake ikoje?
 
Huyu Linah na hii sura yake asipo angalia atakuwa na wapenzi tu mwisho wa siku akose mume, angetulia na Amini sasa angekuwa anaishi kama mke wa mtu na si mpenzi tu, sura yake haichelewi kuzeeka maana.!
hela zinamfanya avutie lakini ana sura ngumu lina kama jiwe la kusugulia makenya akiewnda kijijini aishi huko kwishnei
 
Huwa napata sana mashaka napokuwa nasoma thread zako Mkuu, labda leo uniambie hivi we ni me Or
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Kuna tetesi eti manfongo sijui nini nini....
Ebu ngoja warumi aje
Huyo uliyemtaja nahisi ana ID nyingi sana humu JF, kama sio 3 basi 4. Chunguza uandishi wa waleta thread hapa wanauandishi fulani kama wake.
 
Ushamba tu, Amini alimpenda Linah kutoka rohoni yaani kama Linah si star, maana kipindi hicho hakuwa juu kama sasa, huyu bi dada umaarufu ukamlevya akaingia king kuwa star lazima avuliwe chupi hovyo na ma star wa kiume, sasa Amini ameoa analea familia bila kokoro yeye kabaki kuwa golikipa wa mbo..o kila inayokuja mbele yake anadaka tu hajiangalii sura ilivyo nzito kama uji wa jana, akija kustuka kina amini wanamwambia skamoo bila kujua ni Linah demu wake wa zamani.
Unajua kuchana balaaa
 
Back
Top Bottom