Linah amchukua Idris kulipa kisasi kwa Wema

hela zinamfanya avutie lakini ana sura ngumu lina kama jiwe la kusugulia makenya akiewnda kijijini aishi huko kwishnei
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yaani kuna wanaume wenzangu hawanaga kinyaa kabisa[emoji37]. Anyways, it's a free nation..free world.
 
Kwa wapenzi wa muziki wa dansi tunakumbuka ile cheni ya Diana Aston Villa na kina Banza Stone.

Huyu mdudu akiingia Bongo Flava/Movie itakuwa shida. Nafikiri na Tasnia yenyewe itaishia hapo maana tutapoteza wasanii wengi kwa pamoja.
Hii cheni kuna wengine wanapumulia ARV's ila kuna wakati huwa zinadunda wanapauka kwelikweli...
Mfano yule msanii pendwa wa enzi hizo aliyezaa na Marehemu Diana.

Hadi nimemkumbuka kipenzi changu Banza Stone [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Yes mkuu laana ya amini mwenzie alijitoa kwake kwa kila kitu akamuona hafai
Jamani Amini nae alikuwa anampiga sana dada wa watu (sijui ndio alikuwa anampigia huko kudanga?)

Ila penzi la Amini na Linah lilikuwa motroooo [emoji39][emoji39][emoji39],dah!
 
Yule wanayemwita madam inaonyesha vijana huwa wanajiweka tu pale akisha wapa kiki wanamkimbia sijui sasa hiv itakuwa zamu ya nani tena kupewa kiki?
Aiseee ngoja nimlie misele nizekee nae ,si unajua yaliyopita si ndwele [emoji38][emoji38]
 
Jamani Amini nae alikuwa anampiga sana dada wa watu (sijui ndio alikuwa anampigia huko kudanga?)

Ila penzi la Amini na Linah lilikuwa motroooo [emoji39][emoji39][emoji39],dah!
Alikuwa anampiga kwa sababu ya umalaya wake, Amini alimpenda sana Linah, mpaka akajipa haki ya kumtunza na kumlinda, ila bi dada ndio umaarufu ukamwambia lazima wengi wadumbukie hapo kwenye shimo, mwenzao Besta alijithamini akajimilikisha sasa katulia acha hawa wajidanganye na SHABU bila kujua hakuna shabu ya uso.
 
Aiseee ngoja nimlie misele nizekee nae ,si unajua yaliyopita si ndwele [emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu utawezana nae kweli ana team yake huko kwenye mitandao ya kijamii siku akipost kitu chenye kuashiria mmetofautiana nae team yake watakushukia na matusi kama mvua ila kuhusu kiki hiyo utaipata!
 
Teh teh... comments za humu Linah angezipitia, ni mwendo wa kujinyonga tena hadharani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…