Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila uitaji unatofautiana.Hiyo bei ni ndogo sana kwa ninavyojua
Ahsante sana mkuu,nitafanya hivyo.container 20 ft 2.5 m,mwaka jana nilitafuta sanakwa 1.8 m sikulipata,kila mmoja alishia 2.5,ebu jaribu kutafuta mabibo nyuma ya chuo cha nit kuna macontainer kibao tu
Mkuu ulipata hii bidhaa?Wadau naitaji container 20 FT hata ikiwa used. Offer yangu ni 1.2 M.
Iwe Dar na documenation zote za umiliki muuzaji awe nazo.
Kama unayo nicheck kwa 0759 819 819.
Vipi unalo? Na Bei ganiMkuu ulipata hii bidhaa?
Mkuu unahitaji high cube au high standard containers?Vipi unalo? Na Bei gani
Kwani tofauti yake ikoje mkuuMkuu unahitaji high cube au high standard containers?
Tofauti ipo kwenye urefuKwani tofauti yake ikoje mkuu
Asante kwa kunielimisha mkuu, Bei zake je zikojeTofauti ipo kwenye urefuView attachment 2185069
Bei inategemea unahitaji kwa ajili ya kazi ganiAsante kwa kunielimisha mkuu, Bei zake je zikoje
Kwa matumizi ya kawaida siyo usafirishajiBei inategemea unahitaji kwa ajili ya kazi gani
Kusafirishia mzigo :hapa unahitaji contena zuri na full document
Kwa matumizi kama stoo duka na nk
Hapa sio lazima liwe zuri sana
Ok hayo bei ina range 1.5 to 2.2 kutegemea na QualityKwa matumizi ya kawaida siyo usafirishaji
nipe mawasiliano yako.Ok hayo bei ina range 1.5 to 2.2 kutegemea na Quality
Mawasiliano pls--Ok hayo bei ina range 1.5 to 2.2 kutegemea na Quality
Mimi nahitaji la 40ftWadau naitaji container 20 FT hata ikiwa used. Offer yangu ni 1.2 M.
Iwe Dar na documenation zote za umiliki muuzaji awe nazo.
Kama unayo nicheck kwa 0759 819 819.
Mkuu nahitaji pia kontena zuri, offer yangu ni 2mlOk hayo bei ina range 1.5 to 2.2 kutegemea na Quality