ngoja pashkuna la kizaramo mange lione hii thread, ataumia wala hatapata usingizi maana zari na linda wanamfanya hajielewi, anawachukia dont know why, kila kukicha anawachamba kwa sababu anaona wamemzidi kwa mengi
Linda kiboko zari haoni ndaniii
Wema anavyosubiri kwa Zari,
ndivyo Zari nae anavyosubiri kwa Linda!!
Linda hajanishawish bado ofcourse she beautiful bt hafikii uzuri wa zari hasa usoni, zari ukimtizama vzur utagundua ana uzuri wa kipee sana, nlipofatilia na kugundua kuwa ni mchanganyiko wa mhindi, msomali, burundi na uganda ndo nikapata jibu
Aliyeweka hivi thread all he or she needs is attention. U got it whoever you are