JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Maafisa watatu wa magereza wanaotuhumiwa kwa mauaji ya mfungwa Mkoani Lindi, Abdallah Ngalumbale, wameendelea kusota rumande baada ya shauri la kesi yao kusikilizwa kwa njia ya mtandao, leo Agosti 3, 2022.
Watuhumiwa hao wamefikishwa Mahakamani kwa mara ya 4 ambapo Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Lindi, Consolata Singano aliahirishwa shauri hilo hadi Agosti 15, 2022 kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika .
Watuhumiwa ni ACP Girbert Sindani ambaye ni Mkuu wa Gereza la Liwale, Sajenti Yusuph Selemani na Coplo Fadhil Mafwad.
Video: Azam TV
Pia soma:
Kesi ya Mauaji ya Mkuu wa Gereza la Liwale na wenzake yasikilizwa Mahakamani, yaahirishwa leo Julai 6, 2022
Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale kortini kwa mauaji
Watuhumiwa hao wamefikishwa Mahakamani kwa mara ya 4 ambapo Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Lindi, Consolata Singano aliahirishwa shauri hilo hadi Agosti 15, 2022 kwa kuwa upelelezi wake haujakamilika .
Watuhumiwa ni ACP Girbert Sindani ambaye ni Mkuu wa Gereza la Liwale, Sajenti Yusuph Selemani na Coplo Fadhil Mafwad.
Video: Azam TV
Pia soma:
Kesi ya Mauaji ya Mkuu wa Gereza la Liwale na wenzake yasikilizwa Mahakamani, yaahirishwa leo Julai 6, 2022
Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Liwale kortini kwa mauaji