Lindi mbona pamepoa sana jamani?

Lindi mbona pamepoa sana jamani?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Sehemu ya masikini na mafukara mrembo utamtoa wapi? Hata kuoga hawajui! Tatizo la ulozi!
 
Lindi pamepoa sana is cool area

Hapo sehemu ambayo huwa naenda kutuliza Akili inaitwa Paris ni eneo zuri Sana

Usalama Lindi ni 99%
Ushoga upo
Kujiuza ni kwa Sana wana Entertain ngono guest house kila mahala.

Personally napenda miji Kama hiyo iliyotulia .

Then wakazi wengi hukaa nje ya mji huwa wanakuja mjini kufanya business na kuondoka.
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Lindi Lindi !

lango la kuzimu
Ndiko lilikofanyika tambiko la kuizika Tanganyika

Nani atairudisha tanganyika
 
Lindi pamepoa sana is cool area

Hapo sehemu ambayo huwa naenda kutuliza Akili inaitwa Paris ni eneo zuri Sana

Usalama Lindi ni 99%
Ushoga upo
Kujiuza ni kwa Sana wana Entertain ngono guest house kila mahala.

Personally napenda miji Kama hiyo iliyotulia .

Then wakazi wengi hukaa nje ya mji huwa wanakuja mjini kufanya business na kuondoka.
Uko sahihi me nafanya kazi Lindi ila ikifika ijumaa nakwenda masasi town narudi kazini jumatatu asubuhi masasi napapenda kibiashara na mishe mishe almost pako kana bugurun fulani hv
 
Back
Top Bottom