ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Lindi padogo sana lazima ujichetue akili Kwa pombe ili pasiboeMwenyeji ndege JOHN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lindi padogo sana lazima ujichetue akili Kwa pombe ili pasiboeMwenyeji ndege JOHN
Dume dada duuuhNgoja nije nikupe kampan
🚶🚶🚶
We uko Lindi wapi acha uongoNgoja nije nikupe kampan
🚶🚶🚶
Oya dume dada huyo kua makiniWe uko Lindi wapi acha uongo
Hupajui Lindi subiri jioni ya Leo na usiku wa leo kwanzia saa2 utajua hujui panaitwa shimoni hapo starehe zimetengewa eneo lakeTayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?
Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?
Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.
Nipo Lindi mjini
Hebu tujuzeLindi Lindi !
lango la kuzimu
Niko lilikofanyiks tambiko la kuizika Tanganyika
Nani atairudisha tanganyika
Tukutane Paris leoFunguka vizuri basi mkuu? Nitakuwa huku kwa mwezi mmoja.
Hajui kwanini ikiitwa ParisHupajui Lindi subiri jioni ya Leo na usiku wa leo kwanzia saa2 utajua hujui panaitwa shimoni hapo starehe zimetengewa eneo lake
Wapi hapo SHIMONI?Hupajui Lindi subiri jioni ya Leo na usiku wa leo kwanzia saa2 utajua hujui panaitwa shimoni hapo starehe zimetengewa eneo lake
Mademu wa nyumbani Si ndio hao hao MalayaTunakutana wapi kaka? Upo Lindi sehemu gani?
Ila sitaki malaya wanao jiuza. Nataka mademu wa nyumbani wale wa kutongoza.
Age zao please vipi?
Kaka Lindi hakuna pesa ila starehe zinanoga BalaaWapi hapo SHIMONI?
Haina shida ukiona Lindi hapafai tunasogea masasi ndipo mimi huwa naenda sanaPm yako inafanya kazi kaka?
Leo hadi Jumatatu nitakuwa occupied na kazi. Ila kuanzia juma4 ijayo ndo nitakuwa free.
Hajui kwanini ikiitwa Paris
Wapi zinaponoga? Taja locationKaka Lindi hakuna pesa ila starehe zinanoga Balaa