Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nipo Lindi ndio.We uko Lindi wapi acha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Lindi ndio.We uko Lindi wapi acha uongo
Lindi kweli SHIMONI?Hakika maisha Kama ulaya LINDI binafsi I don't like congestion areas , kwangu Lindi pananifaa Sana.
Ni wapi ambapo hawapendi ngono?Pia ushauri tu:
Lindi au watu wakusini wanapenda sana ngono hivyo hakikisha unavaa helmet kwa kila barabara unayopita .
Ni ngumu mno kusikia watu wakiuana Lindi.. Mimi Nina miaka minne Lindi sijawahi kuona watu wakirushiana hata ngumi.. Huku hata mtu kafumaniwa na mke wa mtu yanaisha Kwa amani sanasana watu watataka hela tu... Sio Kanda nyingine mtu hata demu ukimchukulia anakumalizaHakika maisha Kama ulaya LINDI binafsi I don't like congestion areas , kwangu Lindi pananifaa Sana.
Wewe dume dada wewe kua makini nyinyi agenda zenu za upinde muwe mnaangalia na sehemu za kuziwekaNipo Lindi ndio.
Dume dada unapenda NgonoNi wapi ambapo hawapendi ngono?
Atoto Lindi ya wapi mitwero, mnazi mmoja, fisi, wailes, saba saba, kariakoo, muhimbili? Raha leo? Mtanda?Nipo Lindi ndio.
Oya dume dada huyo kua makiniAtoto Lindi ya wapi mitwero, mnazi mmoja, fisi, wailes, saba saba, kariakoo, muhimbili? Raha leo? Mtanda?
Kwani Nimesema namtaka mkuu?Oya dume dada huyo kua makini
Wewe dume dada wewe kua makini nyinyi agenda zenu za upinde muwe mnaangalia na sehemu za kuziweka
Dogo tafuta supu, labda itasaidia.Oya dume dada huyo kua makini
Ni wapi ambapo hawapendi ngono?
Wewe dume dada tuliaDogo tafuta supu, labda itasaidia.
Kua makini usije ukaingia mtaroniKwani Nimesema namtaka mkuu?
MitandiAtoto Lindi ya wapi mitwero, mnazi mmoja, fisi, wailes, saba saba, kariakoo, muhimbili? Raha leo? Mtanda?
Wa hivyo hata Lindi wapo.Wapo watu wengi ngono sio kila kitu na wengine ikiwemo mm mwenyewe tunafanya semen retention as to keep our life on truck .
Miji ya pwani maendeleo ni kufuga majini na kuigiza swala tano. Huwezi kupata starehe ya maana mji wowote wa waswahili.
Okay.. Kuna kakilo cha mdudu pale agape karibiaMitandi
Si kweli nenda songea mjini Kutana na mapub ya kishua.ukidrop pale nenda mtaa wa kosovo halafu njoo udondoshe hoja yako.Lindi, Masasi, Mtwara na mikoa yote ya kusini kote pa hovyo .
Mtwara pako poa sana maeneo yakujichanganya ni mengi ila Lindi kumepoa sana kama sio ManispaaSijajua unatafuta mkusanyiko wa watu kwenye sehemu za hadhara au kelele kama za Kariakoo?
Kama sehemu za kuspend zipo nyingi tu japo sio kama jijini, pesa yako tu. Na kusehemu huingii kama pesa yako ya hapa na pale.