Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sogea GRM Pamekaa kiofsa sana. Kitimoto, mbuzi choma and everything vipo. Mazaga ulimi wako na wepesi wako tu. Wepesi namaanisha pesa. Nipo k’masoko nazichanga, next week narudi lindi mc. Karibu lindi mji wa matumizi aka Paris.
Namaanisha samaki na wala sio uzinzi pia kuwa makini lindi sio pazuriMkuu Mimi sijaja Lindi kufuata Samaki. Mi nataka PAPUCHI tu mkuu. Au ulimaanisha Kula " kisamaki"?
NgomaSio pazuri kivipi Mkuu? Kuna nini? Ngoma au uchawi?
ya kweli hayo? ndege JOHNAngalizo lindi kuna Ukimwi
Hakuna ukimwi mimi mbona sijawahi kupata na nishaloweka MNO.. ni kama bahati mbaya tu ikikutokea kwenye show basi unajisogeza mwenyewe Kwa Munguya kweli hayo? ndege JOHN
nimeongelea tu general mkuu. ukikamata kamoja ka kali kula hakohako. nenda ukakapime ukimwi na STDs hasa fanya culture kucheki herpes..maana ndio std's msala - incurable.Kwani kuna ukimwi sana kusini au unazungumzia general
Mimi sehemu nzuri kwangu ni Bukoba.Hakika maisha Kama ulaya LINDI binafsi I don't like congestion areas , kwangu Lindi pananifaa Sana.
Labda huna hela za kutosha.Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?
Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?
Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.
Nipo Lindi mjini
Natumia bati tu mkuunimeongelea tu general mkuu. ukikamata kamoja ka kali kula hakohako. nenda ukakapime ukimwi na STDs hasa fanya culture kucheki herpes..maana ndio std's msala - incurable.
au ka utaona gharama tumia bati mwanzo mwisho.