Lindi mbona pamepoa sana jamani?

Lindi mbona pamepoa sana jamani?

Ahaa sehemu za hivyo Mimi sizitaki sana nataka sehemu wanazo kaa wenyeji kama Lindi. Sio unaenda kivinje huko au masasi halafu unakutana na mademu wametoka kinondoni wakati na wewe mwenyewe imetoka kinondoni
😂😂duuh hatari
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Sogea Paris Club jirani Kuna shule inaitwa Stadium dada yeyote ukimkuta eneo hilo bila kujali amevaake we beba, eneo la pili nenda beach Kuna club inaitwa Mashujaa Musement Park Kwa pembeni Kuna chimbo lao, Tatu nenda eneo linaitwa uwanja wa fisi ila Hawa jiandae na UTI na GONO
 
Sogea Paris Club jirani Kuna shule inaitwa Stadium dada yeyote ukimkuta eneo hilo bila kujali amevaake we beba, eneo la pili nenda beach Kuna club inaitwa Mashujaa Musement Park Kwa pembeni Kuna chimbo lao, Tatu nenda eneo linaitwa uwanja wa fisi ila Hawa jiandae na UTI na GONO

Cheki inbox mkuu
 
Lindi pamepoa sana is cool area

Hapo sehemu ambayo huwa naenda kutuliza Akili inaitwa Paris ni eneo zuri Sana

Usalama Lindi ni 99%
Ushoga upo
Kujiuza ni kwa Sana wana Entertain ngono guest house kila mahala.

Personally napenda miji Kama hiyo iliyotulia .

Then wakazi wengi hukaa nje ya mji huwa wanakuja mjini kufanya business na kuondoka.
Usafi wa vyakula, miili yao pamoja na guest kama si lodge upoje?
 
Kuna vijana wa hovyo sana Lindi...wale wanaouza maji Kwa wasafiri hapo stend hujaza maji feki kwenye chupa!!
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Tatizo hujaenda kutafuta mganga
 
Back
Top Bottom