Jah bless
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 276
- 463
Fungua hiyo code basi mzee
Code tena mzee, ulizia grm panafahamika vizuri tu. Okay sikia Kama una upwiru, nenda zako pale chagua pozi zuri agiza. Hao wahudumu ndio vipoozeo, chagua anayekupendeza ishi nae.
Au unaweza kwenda Paris(ulizia boda akupeleke) pia kuna watoto safi kabisa.
Paris kuna bar na night club, zipo mkabala. Ikifungwa bar saa6 mnahamia club.
Humo ushindwe wewe tu, maafisa utamu km wote.
Kaa ukijua lindi mc hamna demu anaesimama barabarani kuuza.
Muhudumu mkielewana unakua unajipigia tu yani yako.
Nimekumbuka pia kuna mashujaa resort ipo beach, hapo pia mukidee wahudumu safi kabisa.
Aisee kuna biashara club pia ila pale sio kiviiile maana mihudumu ya pale ni miboya inataka 20k per game! Inajikuta mireeembo! Ila sound zako tu mzee unaweza ukaopoa pale pia.
Au tembea tembea maeneo ya beach kule au fisi au town utakutana na kina mwa j, fatu, mwanakhamis, pili nk unasoundisha unakula zaga ila ujiandae na vizinga vya elfu tano tano.
Kama bado huelewi kuna wale walinzi wa SUMA JKT hawana baya, tembelea taasisi yoyote utakutana nao sema nao. Au nenda pale sokoine hospital kuna wale ndugu wanaenda kuuguza jamaa zao (wanalalaga pale)unakamata mmoja shughuri inaisha chap.
Au Kama vipi sema na watumishi pia wapo safi tu wengi wao wapo alone, wamekuja lindi kikazi.
Option nyingine mama ntilie na wahudumu wao, utachagua mwenyewe. Ila wahudumu wao ndio fresh wapo vizuri halafu warembo ile natural.
Ukikosa huko, nenda barbershop. Huyo atakaekuosha kichwa unasema nae mnaelewana, wote vijana nyie mpo kwenye utafutaji.
Sokoni pale mjini sikushauri maana wengi wake za watu.
Pia unaweza kujiongeza Kwa mawakala hawa wa pesa, wadada wa saluni za kike, wadada wa phamarcy, wadada wauza vipodozi pia wapo vizuri.