Lindi mbona pamepoa sana jamani?

Lindi mbona pamepoa sana jamani?

Uko wana malizana kwa kutogana, ndiyo maana uko kufanya jambo la maendeleo ni ngumu, Sehemu wanayoishi Waislamu wengi hakuna maendeleo ya watu kupiga atua. Yani ukifungua Biashara ata ya Duka, Chips wana ziwangia na watabia ya kuroga usipige atua.
huku hata huo uchawi wa namna hiyo hamna,,,,!!!!

Suala la maendeleo kwa Tanzania hii sio suala la uislamu au dini nyingine, ni suala la kitaifa, hakuna uhusiano wa maendeleo na dini na kama upo kama mnavyodai ninyi msio waislamu basi tuangalie maisha ya waarabu(ambao kwa asilimia kubwa ni waislamu) na wasiokuwa waarabu (bila kujali ni wadini ipi mfano wa Buddha, wakristo, wahindu n.k) wepi ni masikini kuzidi wengine, kwa mujibu wa maelezo ya kitakwimu na kusikia kutoka kwa wenye uzoefu ni kuwa wananchi wengi wa nchi za kiarabu (ukiachana na nchi zilizoathiriwa na vita na machafuko) ni aidha matajiri au wana uwezo mkubwa kiuchumi na kifedha kuliko wazungu (ambao kwa asilimia kubwa ni wakristo) na wengineo.

Haya turudi tz kwenye top ten ya matajiri wa Tanzania angalia uwiano wa matajiri waislamu na wakristo afu jibu baki nalo.
Pia hata mikoa hali ni hiyohiyo kama utafanya utafiti wa kweli.

Mi nakukumbusha tu na sikufundishi, ukiwa unapinga hoja kama hizi usilete maneno ya kijinga kama hauna hoja ya msingi, kuliko kujifanya mjuaji ilhali kichwa chako hakina uwezo wa kufikiri vizuri!!!

Halafu kaa ukijua kuwa jamii yoyote ile inayowekeza fikra za kimaendeleo kwenye ukabila na Udini huwa haina dalili za maendeleo na itatake so long kuendelea, kwa sababu watu wa jamii husika hawawazi kukabiliana na changamoto zinazowakabili kwa upana bila kuhusisha manufaa binafsi ya dini zao au makabila yao, na hili ndio tatizo kubwa linaloikabili nchi yetu kiuhalisia.

Naomba kuwasilisha!
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Ni kweli Lindi hapajachangamka, ni tofauti kidogo na Mtwara au Masasi. Tatizo mji wa Lindi umwinyi umejaa ni bora uende wilayani kama Nachingwea, Ruangwa na Liwale kuna vibe la kutosha
 
Hivi mradi wa campus ya UDSM pale Ngongo umeanza?
Mkuu nimekuja Lindi na Nina enjoy zaidi LINDI kwa sababu nakutana na watoto wenyeji wa Lindi wamwera pure from age 18 to 22 . Huko Masasi wengi ni wakuja unaenda unakutana na malaya wametoka Kinondoni wameenda Masasi kudanga.

Anyways nilikuja Dar jana kwa masuala ya kifamilia ila narudi Lindi tena kesho. By kesho saa 7 au 8 Insha'allah nitakuwa Lindi. Kesho nataka nijaribu kupitia mitaa us Veta kule kama naweza kupata watoto wa Veta. I hope Veta ya Lindi ina wanafunzi wengi
 
Ni kweli Lindi hapajachangamka, ni tofauti kidogo na Mtwara au Masasi. Tatizo mji wa Lindi umwinyi umejaa ni bora uende wilayani kama Nachingwea, Ruangwa na Liwale kuna vibe la kutosha
Huko ambapo hapajachangamka ndo wengine tunapataka kwa sababu tunakutana na watoto wa kienyeji pure.
 
Huko ambapo hapajachangamka ndo wengine tunapataka kwa sababu tunakutana na watoto wa kienyeji pure.
Sawa mkuu, ukipata muda tembelea wilayani kama ruangwa, nachingwea au liwale huko utapata totoz za kienyei pure kabisa
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Lindi mjini pamepoa lakini kama unataka kuenjoy nenda Ruangwa hotel huko wilayani, kazurule kilwa kivinje na masoko visiwani.
Ukitoka hapo nenda paris,nenda beach hapo kuna bar kubwa
kifupi siku 30 zitakua zimeisha!
ukiongezewa nichek
 
Lindi padogo sana lazima ujichetue akili Kwa pombe ili pasiboe
Mara ya kwanza kufika Lindi miaka ya mwanzoni mwa 2000 baada ya kushuka stend na kuulizia tax niliambiwa nisubiri maana mjini mzima kulikuwa na Tax moja tuu, Land Rover 109 short chassis daaah
 
Tayari nimeingia mjini Lindi. Aisee pamepoa hatari. Hadi najiuliza kwa hizi siku 30 ambazo nitakuwa ndani ya mkoa wa Lindi how will I enjoy myself?

Au niwe naenda zangu Mtwara kila weekend?

Anyways wenyeji wa Lindi Nipeni ABC za Lindi kwenye eneo la warembo na starehe.

Nipo Lindi mjini
Mtafute Binti Lindi wa Clouds..!
 
Pamepoaa sanaa yni mademu wakutongoza ni mabaamedi tu afu kila mtu anataka hao hao, hta wale watoto wa kudanga holaa amna kitu huu mkoa
 
Halafu kaa ukijua kuwa jamii yoyote ile inayowekeza fikra za kimaendeleo kwenye ukabila na Udini huwa haina dalili za maendeleo na itatake so long kuendelea, kwa sababu watu wa jamii husika hawawazi kukabiliana na changamoto zinazowakabili kwa upana bila kuhusisha manufaa binafsi ya dini zao au makabila yao, na hili ndio tatizo kubwa linaloikabili nchi yetu kiuhalisia.
Nondo sana hii Kaka Mkubwa.
 
Pamepoaa sanaa yni mademu wakutongoza ni mabaamedi tu afu kila mtu anataka hao hao, hta wale watoto wa kudanga holaa amna kitu huu mkoa
Mabaamedi wenyewe wanamiilikiwa, Lindi kuna ushamba sana mtu akitongoza bar maid atataka ammiliki kabisa na wengine wanaishi nao kama wake zao.
 
Back
Top Bottom