Lindi: Mbunge wa CCM Nachingwea azomewa na Wananchi

Lindi: Mbunge wa CCM Nachingwea azomewa na Wananchi

Kabwe-Nkasi-Rukwa, aiseee lile tukio ni hatari Sana nimesimuliwa na waliokuwepo huko. Wananchi tusichukue sheria mkononi lakini pia Polisi msipende kuwa underrate na kuwadharau wananchi.
Braza polisi wale fimbo sana hadi waache u ccm
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
Kweli dunia inazunguka, leo hii Lindi na Mtwara ndio pamekuwa ni uwanja wa vuguvugu dhidi ya CCM?! Hongereni sana watu wa Kusini!
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
Hii ndiyo dawa ya majizi na matapeli
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
Huyo ni Mbunge wao hadi 2025. Mwanasiasa kuzomewa kawaida sana. Mwenzao Bush alipigwa na kiatu kabisa lakini aliendelea kuwa Rais, tena wa Marekani. Nini kuzomewa bwana?
 
But was inevitable too
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20230917_093128.jpg
 
Back
Top Bottom