Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge

Lindi: Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Msimamizi wa Uchaguzi na nyumba ya Mbunge

Kwa nini haukulileta hiyo 29 Okt? Manazuia vyombo vya habari kutoa habari. Zikitoka hivi mnajaribu ku-downplay eti mbona zamani! Jana nyumba ya mkurugenzi Meatu imeungua moto. Furahi kama unapenda matukio mapya tu.
Mbona walishakamatwa siku nyingi na nimatukio ya tarehe 29/10/2020. Nashangaa leo ndiyo yanaletwa hapa JF!! Au kwa kuwa mitandao ilikuwa imefungwa!
 
CCM mmeshazoea damu sikushangai kwa komenti hii.
Mtu una akiri unaenda kuchoma nyumba kuna watu ndani kisha unataka wewe roho yako ipone kivipi?
Hao unaochoma wapo ndani.sio watu ila wewe sio?
Subirini mkutikane ndo mtajua kuwa hamkuchma kibanda cha ndge bari ni nyumba ya watu kama nyie.
 
Kura za maoni hizo; CCM wameanza kumalizana.
 
Si ndio mapambano ya Lissu aliyo yasema haya. Kesha shindwa hana lolote huyu zaidi ya kitishia nyau.
 
Chama cha siasa kikishindwa kufikia malengo yake ya kushika dola kwa muda mrefu kinageuka kuwa kikundi cha waasi na hatimae magaidi..
Nendeni taratibu, tunawaangalia.
Vyama vinavyoshiriki wizi wa kura ndivyo vinazalisha magaidi! CCM haina uwezo wa kushindana kwenye sanduku la kura tena!
 
Back
Top Bottom