Lindi: Watumishi wa Halmashauri washtakiwa kwa Uhujumu Uchumi

Lindi: Watumishi wa Halmashauri washtakiwa kwa Uhujumu Uchumi

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Januari 11, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO.NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe. Mariam Mchomba.

Washitakiwa ni Bw. REUBEN NDIZA MFUNE, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali na Bw. JUMA MASATU KASOGA, ambaye kwa sasa ni Mhasibu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Wakili PETER CAMILIUS, ambaye aliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ya kiasi cha shs. 51,792,615/- kati ya kipindi cha Oktoba 2, 2014 na Disemba 31, 2014.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa mshtakiwa wa kwanza na Mweka Hazina kwa mshtakiwa wa pili.

Washtakiwa wamekana mashitaka hayo na wameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi Februari 7, 2023.
 
Januari 11, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO.NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe. Mariam Mchomba.

Washitakiwa ni Bw. REUBEN NDIZA MFUNE, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali na Bw. JUMA MASATU KASOGA, ambaye kwa sasa ni Mhasibu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Wakili PETER CAMILIUS, ambaye aliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ya kiasi cha shs. 51,792,615/- kati ya kipindi cha Oktoba 2, 2014 na Disemba 31, 2014.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa mshtakiwa wa kwanza na Mweka Hazina kwa mshtakiwa wa pili.

Washtakiwa wamekana mashitaka hayo na wameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi Februari 7, 2023.
Kesi za uhujumu uchumi zimeanza kuwa na dhamana.... Hii inaweza kuwa ni maandalizi ya kesi kubwa zijazo za wazito wazito huko juu
 
Januari 11, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO.NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe. Mariam Mchomba.

Washitakiwa ni Bw. REUBEN NDIZA MFUNE, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali na Bw. JUMA MASATU KASOGA, ambaye kwa sasa ni Mhasibu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Wakili PETER CAMILIUS, ambaye aliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ya kiasi cha shs. 51,792,615/- kati ya kipindi cha Oktoba 2, 2014 na Disemba 31, 2014.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa mshtakiwa wa kwanza na Mweka Hazina kwa mshtakiwa wa pili.

Washtakiwa wamekana mashitaka hayo na wameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi Februari 7, 2023.
Kesi za uhujumu uchumi zimeanza kuwa na dhamana.... Hii inaweza kuwa ni maandalizi ya kesi kubwa zijazo za wazito wazito huko juu na wale waliowekwa kiporo
 
Januari 11, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO.NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe. Mariam Mchomba.

Washitakiwa ni Bw. REUBEN NDIZA MFUNE, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali na Bw. JUMA MASATU KASOGA, ambaye kwa sasa ni Mhasibu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Wakili PETER CAMILIUS, ambaye aliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ya kiasi cha shs. 51,792,615/- kati ya kipindi cha Oktoba 2, 2014 na Disemba 31, 2014.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa mshtakiwa wa kwanza na Mweka Hazina kwa mshtakiwa wa pili.

Washtakiwa wamekana mashitaka hayo na wameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi Februari 7, 2023.
Kesi za uhujumu uchumi zimeanza kuwa na dhamana.... Hii inaweza kuwa ni maandalizi ya kesi kubwa zijazo za wazito wazito huko juu na wale waliowekwa kiporo
 
Januari 11, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi namba ECO.NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe. Mariam Mchomba.

Washitakiwa ni Bw. REUBEN NDIZA MFUNE, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbarali na Bw. JUMA MASATU KASOGA, ambaye kwa sasa ni Mhasibu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Kesi hiyo inaendeshwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Wakili PETER CAMILIUS, ambaye aliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ya kiasi cha shs. 51,792,615/- kati ya kipindi cha Oktoba 2, 2014 na Disemba 31, 2014.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa mshtakiwa wa kwanza na Mweka Hazina kwa mshtakiwa wa pili.

Washtakiwa wamekana mashitaka hayo na wameachiwa baada ya kukidhi masharti ya dhamana.

Kesi imeahirishwa hadi Februari 7, 2023.
Walitakiwa kufukuzwa kazi kwanza ndio waendelee na kesi zao
 
Hivi kumbe Sikuhizi uhujumu uchumi una dhamana?Au Inategemea nani ameshtakiwa[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhujumu uchumi una dhamana toka zamani sema ofisi ya mashtaka wanafanyaga uhuni wanaweka kipengele Cha utakatishaji fedha!! Hicho ndio hakina dhamana!!! Wakikuwekea hicho lazima ukae mzinga
 
Kesi za uhujumu uchumi zimeanza kuwa na dhamana.... Hii inaweza kuwa ni maandalizi ya kesi kubwa zijazo za wazito wazito huko juu
Uhujumu Uchumi imefanyiwa amendment dhamana chini ya 300,000,000 mil unapewa na mahakama yoyote.
Ikishafila 300,000,001 hapo lazima uende mahakama kuu, na utoe Nusu ya thamani ndo unapewa dhamana
 
Walitakiwa kufukuzwa kazi kwanza ndio waendelee na kesi zao
Hawa ni suspects!!hawajahukumiwa bado, na mijitu humu ina roho za kikatili mno na still inakwenda kwenye nyumba za ibada, relax mkuu court of law itahukumu na huu ni wajibu wa kisheria, lea family yako kwa upendo not ukatili na visasi, utawafukuza kazi kwa tuhuma?common mkuu
 
Huko eneo salama
---
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewafikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Ruben Mfune na Katibu Tawala Msaidizi Fedha Mkoa wa Kilimanjaro, Juma Masatu kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 51.

 
Uhujumu uchumi si haina dhamana, kwahiyo bwana DC anatumia ndoo kwenda haja kubwa sasa?
 
Back
Top Bottom