Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Mkuu 'utaniua bure'. Neno '... msio na akili nani aliyewaroga' lipo kwenye Biblia (Gal. 3:1).
Jina la Mbumbumbu kwa klabu ya Simba lilitolewa na Mhe. Ismail Aden Rage:
Kauli ya aina yake katika mkutano huo ilikuwa ile ya Rage kuwaita wanachama wa Simba ni ‘mbumbumbu’
Kufuatia kauli hiyo, Rage, alilazimika kuwaomba radhi wanachama hao zaidi ya 571 waliohudhuria mkutano huyo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda kuwaomba radhi wanachama wenzangu kutokana na nilivyosema tuache umbumbumbu, lakini sikuwa namaanisha kama wengi wenu mlivyoelewa,” alisema Rage.
Shaffih Dauda in Sports.: UFALME WA RAGE SIMBA WAFIKA KIKOMO, SWALI NANI KURITHI MIKOBA YAKE?, KAZI KWA WANACHAMA!!
LIWAZO ZITO BLOG: MDOMO NUSURA UMPONZE RAGE, AWAITA WANACHAMA MBUMBUMBU