Kweli hali mbaya mtaanišššBoya wew ka li new lain uko
Kibada ndo wapi?ššššš Alieiokota Offer kwake 50,000/= Hiyo Simu abaki anayo.
šššš kuelewa ulichoandika ni shidaBoya wew ka li new lain uko
Habari kaka.Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
Unataka kuniambia hujui kama kuna kurejesha line? Umeshindwa ku renew? Acha utotoJuzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
Kuna laini kuirejesha huwa inachukua karibu mwezi na hakuna shortcut.Unataka kuniambia hujui kama kuna kurejesha line? Umeshindwa ku renew? Acha utoto
Labda lipa za voda, ila za mitandao mingine chap kwa harakaKuna laini kuirejesha huwa inachukua karibu mwezi na hakuna shortcut.
Mfano lipa namba.
Huyu nahisi aliweka pesa wakati laini sio ya majina yake, (hakuisajili yeye) na aliyemsajilia kashakufaKama vitu muhimu kwanini usisave ktk google drive