Line za M2M kwa 12K

Line za M2M kwa 12K

Habari za jioni, kuna ofa ya line za kampuni moja ya mtandao wa simu zinazoitwa M2M ambazo ni maalumu kwa ajili ya Data tu na si vinginevyo

Nakusajilia popote ulipo endapo una namba ya Nida au kama ni mkazi wa Dar es Salaam tunaweza kukutana physically pia ofisi ipo karibu na kituo cha Muhimbili cha mwendokasi

Utaratibu kama uko mbali ni kwamba utaenda kwa wakala yoyote na kununua line mpya ambayo haijasajiliwa kisha utapiga picha baadhi ya details nitakazokuelekeza na kunitumia namba ya Nida na baada ya muda mfupi tu usajili utakuwa umekamilika. Bei ya line moja ni 12K tu, Karibu PmView attachment 3239307
Wacha wizi line ni elfu 10 sio 12
 
Nakuelewa mkuu, hakuna shaka kwa hilo unaweza tu kuanzisha tangazo soko huria hili mkuu
Sifanyi kazi hiyo Nina kazi zangu zingine laini halotel pale elfu10 na bando. La gb 4 la wiki na hiyo ndo ya kwanza kutumia kabla ya hii ninayotumia sasa
 
Habari za jioni, kuna ofa ya line za kampuni moja ya mtandao wa simu zinazoitwa M2M ambazo ni maalumu kwa ajili ya Data tu na si vinginevyo

Nakusajilia popote ulipo endapo una namba ya Nida au kama ni mkazi wa Dar es Salaam tunaweza kukutana physically pia ofisi ipo karibu na kituo cha Muhimbili cha mwendokasi

Utaratibu kama uko mbali ni kwamba utaenda kwa wakala yoyote na kununua line mpya ambayo haijasajiliwa kisha utapiga picha baadhi ya details nitakazokuelekeza na kunitumia namba ya Nida na baada ya muda mfupi tu usajili utakuwa umekamilika. Bei ya line moja ni 12K tu, Karibu PmView attachment 3239307
Boss kwanini unatoza pesa zote hizo wakati hizo line ni bure!!!??? Kama unahitaji kupata chochote ungeweka angalau 5k kama malipo ya huduma na si zaidi ya hapo. Mimi nnazo line mbili za halotel na nimepata bure kabisa kwa wakala wao.
 
Tanzania fursa nyingi sana, sijui kwanini walimfukuza kiboko ya wachawi.
 
Boss kwanini unatoza pesa zote hizo wakati hizo line ni bure!!!??? Kama unahitaji kupata chochote ungeweka angalau 5k kama malipo ya huduma na si zaidi ya hapo. Mimi nnazo line mbili za halotel na nimepata bure kabisa kwa wakala wao.
Naomba connection ya huyo wakala, Mimi shop kwao waliniambia hawatoi kwa mtu binafsi bali kwa makampuni tu.
 
Habari za jioni, kuna ofa ya line za kampuni moja ya mtandao wa simu zinazoitwa M2M ambazo ni maalumu kwa ajili ya Data tu na si vinginevyo

Nakusajilia popote ulipo endapo una namba ya Nida au kama ni mkazi wa Dar es Salaam tunaweza kukutana physically pia ofisi ipo karibu na kituo cha Muhimbili cha mwendokasi

Utaratibu kama uko mbali ni kwamba utaenda kwa wakala yoyote na kununua line mpya ambayo haijasajiliwa kisha utapiga picha baadhi ya details nitakazokuelekeza na kunitumia namba ya Nida na baada ya muda mfup. 89i tu usajili utakuwa umekamilika. Bei ya line moja ni 12K tu, Karibu PmView attachment 3239307
Hio unlimited inafanya kazi kweli sio unatumia week inaanza kuzingua
 
Back
Top Bottom