snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Linex Sunday Mjeda
''Sidhani Kama wabunifu Wa mitandao hii ya kijamii Kama walifanya ubunifu huu kwa lengo la kupotosha Uma au kutofautisha watu Mh Zitto hajawahi kunikosea jambo lolote kiasi mpaka nikae kwenye kijiwe
nimseme kwa ubaya MTU huyo alieandika uo
ujinga hapo juu hata simfaham nadhani
kibinadam si vema kutofautishana au kufanyiana unyama Kama huo maisha
hayatakwenda sawa tukiishi kiivi''
RE: = https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/666469-joseph-mbilinyi-sugu-amlipua-zitto-kabwe.html