Hoax tu ! Mbona with clear mind haiingii kichwani !
Alikaa na members wa Lekadutigite means alikaa nakina Diamond, Abdu kiba n.k na wote wakawa wanamwelezea kwauchungu !
Yaani imekaa kitoto sana ! Statement yake
Think outside the box!ulitegemea atakubali?yeye anajua Matumbo ni nani?anazushiwa mambo mangapi haji kukanusha haraka hivyo?maswali ni mengi inahitaji kuwa GT!vijana wanatumika na wanasiasa kama condomdah!noma kweli iunamshobokea mtu unajifanya unakaa nae skani kumbe hakujui wala nini!....dah!matumbo anaenda kama mdananda anajua watu wasiomjua...
Think outside the box!ulitegemea atakubali?yeye anajua Matumbo ni nani?anazushiwa mambo mangapi haji kukanusha haraka hivyo?maswali ni mengi inahitaji kuwa GT!vijana wanatumika na wanasiasa kama condom
Hee ndio kusutwa kushaanza hivyo teama umbea. ukiupenda umbea ujue na kusutwa kupo pembeni yako. ngoja nikatafute ngoma ya kigodoro mie tayari kwa kumsuta matumbo heheheheheheheheheheheh
huwa kuna watu nawaangalia sana humu oohh flani namjua, oohh kimepanda kimeshuka kumbe wanayatoa fbook na instagram. kama umecopy mahali si useme au ukae kimya kuliko kujitia umaarufu oohh flani tuko nae, namjua oohh sijui vile kumbe copy na kupaste. kantangazeeeeee au kanipublishhhhh
fikiria mara mbili basi. matumbo ni nywila (id) ambayo si halisi. hata sura anayotumia matumbo si yake. wewe unajua matumbo jina lake na sura yake halisi ni ipi? je kama na yeye ni msanii we unajuaje? hebu msiwe wavivu wa kufikiri
Hee ndio kusutwa kushaanza hivyo teama umbea. ukiupenda umbea ujue na kusutwa kupo pembeni yako. ngoja nikatafute ngoma ya kigodoro mie tayari kwa kumsuta matumbo heheheheheheheheheheheh
huwa kuna watu nawaangalia sana humu oohh flani namjua, oohh kimepanda kimeshuka kumbe wanayatoa fbook na instagram. kama umecopy mahali si useme au ukae kimya kuliko kujitia umaarufu oohh flani tuko nae, namjua oohh sijui vile kumbe copy na kupaste. kantangazeeeeee au kanipublishhhhh