Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,544
- 2,169
Wakuu Heshima Mbele,
Kiukweli huyu mwamba anajitahidi sana sana na sijapata ona nani anaweza kuifikia sauti yake. Nimeangalia na kusikiliza pini yake ya "Kwa Hela" mara mia sijaona nani anaweza hata kukaribia uzuri wake. Ninachojiuliza kwa nini huyu jamaa hatoki? Wakuu, kwa mafans wake hebu tupieni mawili matatu, wapi jamaa anakwama? Mbona joint zake ni kali sana?
Pangu Pakavu.
Kiukweli huyu mwamba anajitahidi sana sana na sijapata ona nani anaweza kuifikia sauti yake. Nimeangalia na kusikiliza pini yake ya "Kwa Hela" mara mia sijaona nani anaweza hata kukaribia uzuri wake. Ninachojiuliza kwa nini huyu jamaa hatoki? Wakuu, kwa mafans wake hebu tupieni mawili matatu, wapi jamaa anakwama? Mbona joint zake ni kali sana?
Pangu Pakavu.