Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sizungumzii wingi nazungumzia positions zaoHapo Naona and Senior Government Officials
Sasa hao ni wangapi wanaweza wakawa wawili, au wanaweza wakawa 200.
Unapeleka Makada?Ni mwandishi wa Barua wetu mswahili tu kaipenda kujaza majina bila sababu. Halafu anaziba comments kwenye page, huyu Haniu mshezi kweli
Tumepeleka kama wao ila ndege kubwa tumeongeza kidogo. Si unajua hatutaki Watanzania wajue kule wameshinda UpinzaniUnapeleka Makada?
Umesoma na kuelewa concern yangu?kipind kile si ndio tulikuw tunataka ivo jmn, tukajazana et kuongeza money supply kweny uchumi..
Hahahaaha seems kuna kaukweli Fulani hiviTumepeleka kama wao ila ndege kubwa tumeongeza kidogo. Si unajua hatutaki Watanzania wajue kule wameshinda Upinzani
Huenda anafanya kama Yale ya Gazeti LA UhuruHuyu alietoa taarifa hajui hata PR nini??
Huku ni kufanya pr au kuanzisha skendo?
Duh! Kweli humu ndani "hatuna akili" issue sio government officials tu ni aina ya hao government officialsMtoa mada unaelewa nini ukiambiwa GOVERNMENT OFFICIALS?
unadhani ni mtu mmoja hapo?
Hahahaahah wacha wakale weekendHuyu maza anaenda kushiriki kama M/kiti wa CCM au kama Raisi wa nchi? Zinatumika kodi zetu au ni fedha za chama?
Botswana wamesema wanarudi siku hiyohiyo sasa hawa wakwetu naona watalala huko huko kabisa mbona hawajaandika wanarudi lini, wameandika tarehe ya kwenda tu yaani hadi hapo tumepigwa
Umeona usivyokuwa na akili?Duh! Kweli humu ndani "hatuna akili" issue sio government officials tu ni aina ya hao government officials