Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,414
- 4,794
Team ras nungwi 'mama' watakwambia anashauliwa vibaya...kama vile hana akili za kupembuaWakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.
Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic
View attachment 1905090
View attachment 1905091