Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Naona WAZENJI wamepata UWAKILISHI wa kutosha!Rais ameshindwa kujielewa kuwa yeye ni Rais wa nchi, kwa barua hiyo ni wazi kuwa anajiona kama katibu mkuu wa CCM...
Shame
Hakuona haja ya kuongozana na wa upande wa pili, bado anaona hawajamaliza kuunda lile baraza lao!