Linganisha Delegation ya Botswana na ya Tanzania kwenye kuapishwa Rais Mteule wa Zambia

Linganisha Delegation ya Botswana na ya Tanzania kwenye kuapishwa Rais Mteule wa Zambia

Jiulize lile huni la mtera Bajaj kwenye delegation ya rais linafanya Nini.
Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.

Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic

View attachment 1905090

View attachment 1905091
 
Ikulu inahitaji timu bora zaidi ya mawasiliano. Timu ya mawasiliano ikiwa nzuri inauwezo wa kuziba mapungufu mengi sana.

Kwa mfano: Hakukuwa na haja ya kuweka orodha ya CCM kwenye hii taarifa. CCM wangetoa taarifa yao ya watu wao watakaoenda. Ikulu wangeweza kuongeza taarifa inayoonyesha umuhimu wa mahusiano ya Tanzania na Zambia kiuchumi na kitamaduni. Wangeongezea hata vikao vitakavyofanyika katika ziara hiyo katika kuleta tija kwa wananchi wa nchi hizo mbili...

Dah! Missed opportunities nyingi sana.
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.
IMG_7560.jpg



IMG_7561.jpg

Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
 
°Rais mstaafu
°Waziri mkuu mstaafu
°Mbunge wa bunge la JMT
°Viongozi wakuu wa chama tawala.

Huu ni uwakilishi mzito sana.
°Kwa sasa nchi yetu ni kama ipo kwenye mfumo wa chama kimoja hivyo hakuna kiongozi wa upinzani mwenye sifa ya kuambatana na Rais na huo ndio ukweli.
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Weka na picha ya familia yako ja familia ya jirani.

Ila mibongo mna PhD za malalamiko aiseeeee.

Mnalalamika kuliko shoga aliyekataliwa. Duuuh.

Mnalalamikia kila kitu
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Sasa Kama waandishi wenyewe ndio wale waliofundishwa na Prof wa jalalani inategemea nini
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Ila brother hujatenda haki. Barua ya Ikulu Tanzania iko sawasawa na ya Botswana. Ukubwa wa barua umechangiwa na wahudhuriaji wengi lakini wasilisho limekaa vizuri.

Labda kama ulitaka barua kutoka kurugenzi ikulu iseme lini wanarudi nyumbani.
 
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa

Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246


View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Rais ameshindwa kujielewa kuwa yeye ni Rais wa nchi, kwa barua hiyo ni wazi kuwa anajiona kama katibu mkuu wa CCM...

Shame
 
Ila brother hujatenda haki. Barua ya Ikulu Tanzania iko sawasawa na ya Botswana. Ukubwa wa barua umechangiwa na wahudhuriaji wengi lakini wasilisho limekaa vizuri.

Labda kama ulitaka barua kutoka kurugenzi ikulu iseme lini wanarudi nyumbani.
Rais hajitambui. How to relate with another country strategically. Hivi hata hajui kuwa haendi kwenye kikao cha CCM? Shame on the advisors.
 
Huyu Pinda naona anakuwa na sehemu muhimu katika kulipindisha taifa hili.

Itabidi sasa tuanze kuwataja mmoja mmoja katika hawa watu wnaovuruga taifa hili.

Mizengo Pinda naona kashika sehemu kubwa, na toka sasa ahesabike kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom