Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wenzetu Botswana wakipeleka High Level Government Officials sisi tunapeleka Makada wa CCM.
Botswana wanaenda kujenga au kuimarisha economic networking na mengine, sisi tunawapeleka akina Shaka wakawafundishe Zambia jinsi ya kuiba kura na kutumia state apparatuses kubaki madarakani.....pathetic
View attachment 1905090
View attachment 1905091
Walioshindwa ndio chama tawala huoni wameita ccmTumepeleka kama wao ila ndege kubwa tumeongeza kidogo. Si unajua hatutaki Watanzania wajue kule wameshinda Upinzani
Weka na picha ya familia yako ja familia ya jirani.Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246
View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Sasa Kama waandishi wenyewe ndio wale waliofundishwa na Prof wa jalalani inategemea niniWakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246
View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Proff wa jalalani kama mnavyomuita kafunda wanasheria sio waandishiSasa Kama waandishi wenyewe ndio wale waliofundishwa na Prof wa jalalani inategemea nini
Sasa kama chuo chote kinaitwa jalala mkuu huoni kuwa maprof wote ni wajalalaniProff wa jalalani kama mnavyomuita kafunda wanasheria sio waandishi
Ila brother hujatenda haki. Barua ya Ikulu Tanzania iko sawasawa na ya Botswana. Ukubwa wa barua umechangiwa na wahudhuriaji wengi lakini wasilisho limekaa vizuri.Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246
View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246
View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa
Rais ameshindwa kujielewa kuwa yeye ni Rais wa nchi, kwa barua hiyo ni wazi kuwa anajiona kama katibu mkuu wa CCM...Wakuu
Hivi mnaona barua ya ikulu ya Botswana yaani fupi na unasoma hauchoki, iko nchi pembezoni huko ukisikia taarifa ya ikulu ujiandae kusoma hadi uchoke mwenyewe riwaya sio riwaya mashairi sio mashairi yaani mibarua mirefu utahisi ni tenzi za rohoni hapana wajifunze botswana check mpangilio kwanza wa maaandishi yao, anuani ilivokaa, bibi na bwana ikiwa juu pale haina maandishi mengine kuchafua nembo yao hao ndio proffessional sasa hadi barua inavutia.View attachment 1905246
View attachment 1905247
Angalieni wenyewe mpangilio mujionee kwa macho yenu.
Rais hajitambui. How to relate with another country strategically. Hivi hata hajui kuwa haendi kwenye kikao cha CCM? Shame on the advisors.Ila brother hujatenda haki. Barua ya Ikulu Tanzania iko sawasawa na ya Botswana. Ukubwa wa barua umechangiwa na wahudhuriaji wengi lakini wasilisho limekaa vizuri.
Labda kama ulitaka barua kutoka kurugenzi ikulu iseme lini wanarudi nyumbani.
Wanamaombi wazidi kuliombea Taifa.Rais hajitambui. How to relate with another country strategically. Hivi hata hajui kuwa haendi kwenye kikao cha CCM? Shame on the advisors.