Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Soma kwa makini na ikumbukwe bado Yanga anaendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakichukua kombe la shirikisho hii nchi mtakoma [emoji23]Jamaa una hangaika sana ,nisijue labda km wewe ndie digital maneger hapo yanga .
Ila km sio wewe nakuonea huruma una ego sana .
Kwa siku moja nyuzi Zaid ya kumi kisa tu kutaka kuilinganisha Simba na Yanga.
Tufanye yanga yanga ni mkubwa Kwa Simba Kila kitu ,vipi ukisikia hayo kwenye account Yako unapata kias Gani?
Ukiweka sana u serious kwenye mambo ya Simba na Yanga mwisho unageuka kituko pia unajianika wazwaz kuwa wewe ni mtu wa aina gan hata kwenye maisha ya uhalisia nje na hizi fake IDs
Acha awanyooshe, mliwatesa sana wakati wenu.Jamaa una hangaika sana ,nisijue labda km wewe ndie digital maneger hapo yanga .
Ila km sio wewe nakuonea huruma una ego sana .
Kwa siku moja nyuzi Zaid ya kumi kisa tu kutaka kuilinganisha Simba na Yanga.
Tufanye yanga yanga ni mkubwa Kwa Simba Kila kitu ,vipi ukisikia hayo kwenye account Yako unapata kias Gani?
Ukiweka sana u serious kwenye mambo ya Simba na Yanga mwisho unageuka kituko pia unajianika wazwaz kuwa wewe ni mtu wa aina gan hata kwenye maisha ya uhalisia nje na hizi fake IDs
Atawanyosha majobless ambao hawana kazi za kufanya.Acha awanyooshe, mliwatesa sana wakati wenu.
Hadi hapo yanga yupo sawa na simba kimapato yanga akichukua kombe ndio atamzidi simbaAcha awanyooshe, mliwatesa sana wakati wenu.
Yaani irudi darasani kusoma.Yanga ifundishwe mashuleni