Mbona karibia kila kitu kinachotumiwa na Mwafrika, ukiacha vyakula, inatoka kwa Wazungu?
1. Magari
2. Simu
3. Madawa ya hospitalini na vifaa tiba
4. Madawa ya kufubaza virusi vya VVU
5. Silaha za kisasa za kivita
6. Ndege
7. Vifaa mbalimbali vya electronics
8. Etc