Pre GE2025 Lini CCM itatoka madarakani na wapinzani watashika Dola?

Pre GE2025 Lini CCM itatoka madarakani na wapinzani watashika Dola?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi ni lini CCM itatoka madarakani, moja ya furaha yangu nikuona Ccm wakipokonywa kiti cha uRais sio kwa ubaya ila tu mabadiriko haya natamani niyaone nikiwa bado hai.

Mimi ni MwanaCCM japo sifungamani na chama kama kimenizaa hapana, napenda maendeleo ni mzalendo, naamini kwenye sera chanya zenye maslah mapana ya Taifa na watu wake hivyo mabadiriko ni mabadiriko tu naombea Taifa langu lipitie nyakati za mabadiriko.
Hilo kweli litatokea mwaka 3100!
 
Naomba kukuuliza, lets suppose CCM imepokonywa Kiti cha urais, ni nani huyo mwenye uwezo wa kuipokonya CCM kiti cha urais?
P
Kwasasa naona wakukipokonya kiti cha urais ni ccm wenyewe. Naamini kuna siku mgombea urais wa Ccm atauza kiti cha urais kwa mpinzani ambacho angestail kukikalia ..... Pia 2030 ndio wakat sahih wa upinzani kukalia kiti ch urais bila hata ya kuuziwa na ccm wenyewe ....


Focus yao ikiwa 2030 watabeba mchana kweupe
 
Hivi ni lini CCM itatoka madarakani, moja ya furaha yangu nikuona Ccm wakipokonywa kiti cha uRais sio kwa ubaya ila tu mabadiriko haya natamani niyaone nikiwa bado hai.

Mimi ni MwanaCCM japo sifungamani na chama kama kimenizaa hapana, napenda maendeleo ni mzalendo, naamini kwenye sera chanya zenye maslah mapana ya Taifa na watu wake hivyo mabadiriko ni mabadiriko tu naombea Taifa langu lipitie nyakati za mabadiriko.
Kunywa Maji mwanangu
 
Nakuunga mkono, no matter how good one, akikaa muda mrefu, anachosha, hivyo mabadiliko ni muhimu from time to time, CCM kina utaratibu mzuri wa miaka 10, anakuja mwingine, naomba kukuuliza, ukiondoa CCM, nani mwingine wa kutuletea maendeleo ambaye ni mzalendo, na mwenye sera chanya zenye maslah mapana ya Taifa, ili tumpe Ikulu yetu?.
P
CCM ndani Ina demokrasia ya kweli japo Kuna wachache wakorofi wanataka kujimilikisha chama
 
Wapinzani gani awa waliolala na kujisahau upinzani tanzania hakuna
 
2025,

CCM itapambana na CCM, mshindi atakosekana na matokeo yake watagawana fito.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom