Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Ngoja nisome comments...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ninachokupendea bro. Najua unajua uhalisia wa hii dunia tokana naa ukomavu wa mapito yankidunia uliyopitia.Jana tuu.. Mimi imani tangu haiendeshwi na mijadala na mikanganyiko ya wengine.. Najua kwa hakika kwanini niliamua kuifuata
Jana tarehe 20/10/2024.Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?
Kama umeshindwa kung'amua na kuwa na msimamo katika imani kutokana na mitazamo na mawazo ya watu wanaotumia fake ID na usiojua wana mission gani behind utakuwa na msimamo kwenye maisha yako ya kila siku?Na kipi kilikuwa chanzo?
Binafsi mara yangu ya mwisho kupita kwenye lango la kanisa ilikuwa ni mwaka 2020, hii ilikuwa ni baada ya kulifahamu jukwaa la Intelijensia humu JF, baadhi ya nyuzi nilizozipitia zilibaki zikinipa mkanganyiko mzito sana kichwani, replies za wadau na mabishano ya hapa na pale yalinifanya niamini kuwa napoteza muda
Vipi kuhusu wewe?
ata ukizikwa na padri kama ulikua muovu , katili... nk haitobadili chochote.Unaacha kwenda kanisani na chama cha siasa huna uanachama, ukifa utazikwaje? Utazikwa kibudu kama mbwa
Nazikwa kwa Jina La Ukoo WanguUnaacha kwenda kanisani na chama cha siasa huna uanachama, ukifa utazikwaje? Utazikwa kibudu kama mbwa
Na kweli unapoteza muda. Endelea kuupoteza. Hakuna amani duniani kama ibada ya kila siku ya Saba mara moja kwa juma.Na kipi kilikuwa chanzo?
Binafsi mara yangu ya mwisho kupita kwenye lango la kanisa ilikuwa ni mwaka 2020, hii ilikuwa ni baada ya kulifahamu jukwaa la Intelijensia humu JF, baadhi ya nyuzi nilizozipitia zilibaki zikinipa mkanganyiko mzito sana kichwani, replies za wadau na mabishano ya hapa na pale yalinifanya niamini kuwa napoteza muda
Vipi kuhusu wewe?
Mtu anaye kwenda kanisani huyo moja kwa moja ni ana upumbavu fulani ...kanisa siyo nyumba ya ibada ...kwanza hakuna nyumba ya ibada ya mungu wa kweli ambayo watu wanaingia na viatu au wakiwa najisi hii nitoka kale....kwa mujibu wa torati na injili siku inabadilika jioni hivyo ikiwa umepanga kwenda kwenye nyumba ya bwana inabidi hata usiku usishiriki tendo la ndoa na mkeo au mumeo au yeyote ....ukisoma kitabu cha samweli daudi alipo mtoroka sauli alikwenda kwenye nyumba ya ibada na kuomba chakula yeye na watu alio toroka nao kiongozi wa hiyo nyumba alimwambia...chakula kilichopo nikile kilicho wekwa mezani mwa bwana ambacho awawezi kukila kama wamelala na wanawake ..ndipo daudi akasema hakika sisi ni safi atujalala na wanawake usiku .....lakini leo hii watu wanakula chakula cha bwana huku usiku wametoka kudinyanya na wake au waume au mahawara zao ....wanaingia na viatu nyumba wanayo dai ni ya bwana ! Msingi wa makanisa haya ya sasa haukua nyumba za ibada bali nyumba za kukutania ili.kujulishana na kukumbushana neno la Mungu tatizo likaja baada ya kugeuzwa kanisa kuwa nyumba ya ibada badala ya nyumba ya kukutania tu...kwenye nyumba za kukutania watu uingia na viatu hakuna shida yoyote.Jana tuu.. Mimi imani tangu haiendeshwi na mijadala na mikanganyiko ya wengine.. Najua kwa hakika kwanini niliamua kuifuata
nyie msioenda kanisani mnapokufa mnazipa utata familia zenu ziwafanyie mazishi ya namna gani. Itabida mzikwe kimya kimya tu bila ibada ya diniNazikwa kwa Jina La Ukoo Wangu
Uzi ulikuwa umetulia umekuja na majini yako tayari. Hivi unaamini kwenda kubinua misambwanda na kupiga kichwa chini ndio kumtumikia Mungu?Mtu anaye kwenda kanisani huyo moja kwa moja ni ana upumbavu fulani ...kanisa siyo nyumba ya ibada ...kwanza hakuna nyumba ya ibada ya mungu wa kweli ambayo watu wanaingia na viatu au wakiwa najisi hii nitoka kale....kwa mujibu wa torati na injili siku inabadilika jioni hivyo ikiwa umepanga kwenda kwenye nyumba ya bwana inabidi hata usiku usishiriki tendo la ndoa na mkeo au mumeo au yeyote ....ukisoma kitabu cha samweli daudi alipo mtoroka sauli alikwenda kwenye nyumba ya ibada na kuomba chakula yeye na watu alio toroka nao kiongozi wa hiyo nyumba alimwambia...chakula kilichopo nikile kilicho wekwa mezani mwa bwana ambacho awawezi kukila kama wamelala na wanawake ..ndipo daudi akasema hakika sisi ni safi atujalala na wanawake usiku .....lakini leo hii watu wanakula chakula cha bwana huku usiku wametoka kudinyanya na wake au waume au mahawara zao ....wanaingia na viatu nyumba wanayo dai ni ya bwana ! Msingi wa makanisa haya ya sasa ni haukua nyumba za ibada bali.munga za kukutania ili.kujulishana na kukumbushana neno la mungu tatizo likaja baada ya kugeuzwa kanisa kuwa nyumba ya ibada badala ya nymba ya kukutania.
15yrsNgoja nisome comments...