Lini Kampuni ya Azam Marine itaanza Safari Zake za Boti Mpya ziwa Victoria?

Lini Kampuni ya Azam Marine itaanza Safari Zake za Boti Mpya ziwa Victoria?

I wish i have

Senior Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
135
Reaction score
62
Uzoefu wake kwa kweli kwa sasa inabidi aongeze mipaka!? Watu wale maisha ya kisasa.. Tunamkaribisha KANDA YA ZIWA VICTORIA... UTAJILI WA MTU MMOJA UNA MAANA KUBWA DUNIANI

IMG_4590.JPG
 
WAZO ZURI SANA KAMA BAKHERESA ATALIONA INABIDI AKUPE KAZI MKUU
 
Uzoefu wake kwa kweli kwa sasa inabidi aongeze mipaka!? Watu wale maisha ya kisasa.. Tunamkaribisha KANDA YA ZIWA VICTORIA... UTAJILI WA MTU MMOJA UNA MAANA KUBWA DUNIANI

View attachment 1995643
Labda sababu Lucifer ameshakufa boat zitaanza kazi maana alikuwa hazitaki kabisa aliwazingua wale wahindi walikuwa wanataka kupeleka speed boats ikabidi wazipeleke Mombasa waliona zimwi anakomaa nao .
 
Back
Top Bottom