Uzoefu wake kwa kweli kwa sasa inabidi aongeze mipaka!? Watu wale maisha ya kisasa.. Tunamkaribisha KANDA YA ZIWA VICTORIA... UTAJILI WA MTU MMOJA UNA MAANA KUBWA DUNIANI
Uzoefu wake kwa kweli kwa sasa inabidi aongeze mipaka!? Watu wale maisha ya kisasa.. Tunamkaribisha KANDA YA ZIWA VICTORIA... UTAJILI WA MTU MMOJA UNA MAANA KUBWA DUNIANI
Labda sababu Lucifer ameshakufa boat zitaanza kazi maana alikuwa hazitaki kabisa aliwazingua wale wahindi walikuwa wanataka kupeleka speed boats ikabidi wazipeleke Mombasa waliona zimwi anakomaa nao .