EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #121
Dada hadi wewe !![emoji849][emoji849]Aii katika kumbukumbu zangu sijawahi tu ... labda wale wa mboga 7 ila sisi mboga 1 siku2 aah hata huo mda hakunaga.. muda wote mchaka mchaka
Kwakifupi tuliokulia kiafrica zaidi hatunaga mambo hayo [emoji28][emoji28][emoji28]Dada hadi wewe !![emoji849][emoji849]
[emoji851][emoji851][emoji851]Kwakifupi tuliokulia kiafrica zaidi hatunaga mambo hayo [emoji28][emoji28][emoji28]
nianze kumwambia Mshua ivyo si atanipasua
Daaa Mkuu, umeongea mada nzuri sana. Nafikiri lifestyle ya malezi yetu waafrica ndio inapelekea ugumu wa kuwaambia wazazi Nakupenda. Wenzetu ulaya wamefanikiwa sana kwenye lifestyle ya malezi inayoweka urahisi wa mtoto kumwambia mzazi nakupenda.Siku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?"
Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu.
Dogo akasema "Mama NAKUPENDA"
Maza akasema machozi yalitoka mbele yake.
Wakati ananisimulia nikatafakari mimi mbona sikumbuki lini nilimtamkia neno hilo hata kwenye meseji?
Baada ya mwezi akafariki bila mimi kumtamkia NAKUPENDA MAMA hili deni linaniuma sana. Jana nimesafiri kutoka mkoani kuja Dar kumjulia hali baba ambaye yupo wodini anapigania maisha yake.
Nataka nikamwambie "BABA NAKUPENDA"before its too late.
Nauliza nyinyi hasa watoto wakiume lini umemwambia mzazi wako NAKUPENDA??
Wadada sometimes mnawezaga.
Muwe na jumapili njema watu wa Mungu.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] tujifunze ku-apreciate nguvu zao kwetu.Daaa Mkuu, umeongea mada nzuri sana. Nafikiri lifestyle ya malezi yetu waafrica ndio inapelekea ugumu wa kuwaambia wazazi Nakupenda. Wenzetu ulaya wamefanikiwa sana kwenye lifestyle ya malezi inayoweka urahisi wa mtoto kumwambia mzazi nakupenda.
Lakini mada yako imetufikilisha jambo kubwa la kujifunza, kuanzia ngazi ya familia hasa mzazi na mtoto, kuwe na lifestyle inayojenga urafiki kati yao. Hii italeta urahisi wa kuambiana nakupenda mama/baba/mwanangu
Ni kweli, lakini swala la kumwambia mzazi nakupenda ni mjadala ulioegemea lifestyle ya malezi. Mzazi mwengine hasa wa kiume ukimuambia nakupenda tena wewe ni mtoto wa kiume, anapata wasiwasi na uwanaume wako.[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] tujifunze ku-apreciate nguvu zao kwetu.
Tumetoka kimaisha kwasababu walijinyima
[emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jana nkamwangalia mshua nikawaza weee, nikamkaushia[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Ni kweli, lakini swala la kumwambia mzazi nakupenda ni mjadala ulioegemea lifestyle ya malezi. Mzazi mwengine hasa wa kiume ukimuambia nakupenda tena wewe ni mtoto wa kiume, anapata wasiwasi na uwanaume wako.
Kwanini ? Ni kwa sababu hakukulea katika mazingira hayo. So lifestyle ya malezi ya mzazi ndio kitengeneza urafiki kati ya mzazi na mtoto.
Asante sana mkuu[emoji1756][emoji1756][emoji1756] Mungu akubariki sanaSikumbuki lini, ila ni mara kibao tu namueleza jinsi gani nampenda mama yangu mzazi..
[emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316] we jamaa ni bonge la fala hata mkeo????Nini wazazi mi mke wangu tu sijawahi mwambia kwa mdomo kwamba nampenda. Huwa sinaga ungese huo sijui valentine day sijuhi utopolo gani.
Mi huwa sinaga shobo hizo, mi ni matendo tu ndio yanaonesha hizia zangu. Mi ninaamini katika matendo kuliko maneno na taarabu.
Atubariki soote ndugu yanguAsante sana mkuu[emoji1756][emoji1756][emoji1756] Mungu akubariki sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aya maneno tuwaachie wazungu huko
Huku kwetu ishara ya kuonesha unampenda mzazi wako ni matendo tu mema kwake
Yani ni mwambie mzee et "Nakupenda" Asee kwanza atanipiga ilo jicho atajua hapa sina kijana wa kiume[emoji23][emoji23]
Mkuu be blessedAtubariki soote ndugu yangu
Nashukuru..japo upendo kwa mama yangu sio ule kivile...Pole mkuu ndio maisha yalivyo
Ni kweli sio lazima ila maneno yana nguvu sana. Huwa naona nuru kwenye uso wa bimkubwa na changamko la sauti yake nikimwambia "nakupenda sana bi mkubwa." Jaribu one time utaona.Sio lazima utamke baba nakupenda, kuwafanyia tu matendo ya upendo ni ishara tosha kwamba unawapenda.
Pole mkuu. Si utamaduni tuliouzoea ila ni mzuri na unavitalize mahusiano tulonayo na wazazi wetu. Mungu amsaidie mzee apone.Siku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?"
Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu.
Dogo akasema "Mama NAKUPENDA"
Maza akasema machozi yalitoka mbele yake.
Wakati ananisimulia nikatafakari mimi mbona sikumbuki lini nilimtamkia neno hilo hata kwenye meseji?
Baada ya mwezi akafariki bila mimi kumtamkia NAKUPENDA MAMA hili deni linaniuma sana. Jana nimesafiri kutoka mkoani kuja Dar kumjulia hali baba ambaye yupo wodini anapigania maisha yake.
Nataka nikamwambie "BABA NAKUPENDA"before its too late.
Nauliza nyinyi hasa watoto wakiume lini umemwambia mzazi wako NAKUPENDA??
Wadada sometimes mnawezaga.
Muwe na jumapili njema watu wa Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hata kumuambia mselaangu usiku mwema nakuwa nahisi ni ushoga unataka kuninyemelea