Lini mara ya mwisho kumtamkia mzazi/mlezi wako nakupenda?

Lini mara ya mwisho kumtamkia mzazi/mlezi wako nakupenda?

[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] we jamaa bhana
Hahaha ndo hivyo kizazi kile cha tofauti sana. Stori zake sijui nikamaliza middle school nikajiunga darasa la kumi sijui nikamaliza darasa la kumi na mbili nikapangiwa kazi jeshini mara tukachaguliwa kwenda ujerumani magaribi sijui yugoslavia unadhani we we wa form two form three chuo na kusambaza bahasha
,kwenda ulaya mpaka uzamie wao wanachaguliwa tu kazi wanapangiwa tu ,nchi anazokutajia hata hazipo saivi yaani ni dunia tofauti kabisa

Ndo umwambie nakupenda baba dah hata ataanza kukukwepa kukuita muende kwenye vilabu vya komoni pamoja kule nyumbani. Anajua utamtia aibu mbele ya wazee wen zake. 😂😂😂😂
 
Hahaha ndo hivyo kizazi kile cha tofauti sana. Stori zake sijui nikamaliza middle school nikajiunga darasa la kumi sijui nikamaliza darasa la kumi na mbili nikapangiwa kazi jeshini mara tukachaguliwa kwenda ujerumani magaribi sijui yugoslavia unadhani we we wa form two form three chuo na kusambaza bahasha
,kwenda ulaya mpaka uzamie wao wanachaguliwa tu kazi wanapangiwa tu ,nchi anazokutajia hata hazipo saivi yaani ni dunia tofauti kabisa

Ndo umwambie nakupenda baba dah hata ataanza kukukwepa kukuita muende kwenye vilabu vya komoni pamoja kule nyumbani. Anajua utamtia aibu mbele ya wazee wen zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ndio dingi ni Mjeda alistaafu akiwa KANALI ni mtata balaa ila SUKARI imemkalisha na kumlaza
 
Siku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?"

Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu.

Dogo akasema "Mama NAKUPENDA"

Maza akasema machozi yalitoka mbele yake.

Wakati ananisimulia nikatafakari mimi mbona sikumbuki lini nilimtamkia neno hilo hata kwenye meseji?

Baada ya mwezi akafariki bila mimi kumtamkia NAKUPENDA hili deni linaniuma sana. Jana nimesafiri kutoka mkoani kuja Dar kujulia hali baba ambeye yupo wodini anapigania maisha yake.

Nataka nikamwambie "BABA NAKUPENDA"before its too late.

Nauliza nyinyi hasa watoto wakiume lini umemwambia mzazi wako NAKUPENDA??
Wadada sometimes mnawezaga.

Muwe na jumapili njema watu wa Mungu.
Yani dume zima umwambie baba ako NAKUPENDA?

Mkuu unaishi Marekani au Ulaya? Maana huku Tz haya mambo hatuna!
 
Sasa ndio dingi ni Mjeda alistaafu akiwa KANALI ni mtata balaa ila SUKARI imemkalisha na kumlaza
Mkuu kama anasumbuliwa na diabetes, Mungu akimpa neema akatoka hospital fanya umuone Dr. Boaz Mkumbo amesaidia maelfu wenye magonjwa ya mtindo wa maisha kwa kutumia chakula tu. Yuko jirani na Mwananyamala hospital pale. Ana clinic maeneo hayo.
 
Mkuu kama anasumbuliwa na diabetes, Mungu akimpa neema akatoka hospital fanya umuone Dr. Boaz Mkumbo amesaidia maelfu wenye magonjwa ya mtindo wa maisha kwa kutumia chakula tu. Yuko jirani na Mwananyamala hospital pale. Ana clinic maeneo hayo.
Mkuu nipange[emoji1317][emoji1317][emoji1317]
 
Mkuu kama anasumbuliwa na diabetes, Mungu akimpa neema akatoka hospital fanya umuone Dr. Boaz Mkumbo amesaidia maelfu wenye magonjwa ya mtindo wa maisha kwa kutumia chakula tu. Yuko jirani na Mwananyamala hospital pale. Ana clinic maeneo hayo.
Tumehangaika na Abbasi hajasaidia saivi nipo RABININSIA
 
Tumehangaika na Abbasi hajasaidia saivi nipo RABININSIA


Cheki hapo profile yao Instagram...au search Dr. Boaz Mkumbo Instagram na Facebook utaona makala zake anazofundisha namna ya kutibu kisukari na other autoimmune diseases.

For more clarity mzee akipata nafuu nenda nae clinic wampime ili wajue namna ya kum manage. Au hata kwa sasa wewe binafsi unaweza fika Clinic yao kumuona Dokta akakuelekeza namna ya chakula kinachoweza kumpa nafuu.

Dawa na sindano za insulin husaidia only a small percentage ktk kudhibiti kisukari in the long term. Asilimia kubwa ya kuudhibiti huu ugonjwa iko kwenye namna unavyounda sahani yako ya chakula.
 
See their contact details.

Screenshot_20210828-140812_Instagram.jpg
 
Siku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?"

Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu.

Dogo akasema "Mama NAKUPENDA"

Maza akasema machozi yalitoka mbele yake.

Wakati ananisimulia nikatafakari mimi mbona sikumbuki lini nilimtamkia neno hilo hata kwenye meseji?

Baada ya mwezi akafariki bila mimi kumtamkia NAKUPENDA hili deni linaniuma sana. Jana nimesafiri kutoka mkoani kuja Dar kujulia hali baba ambeye yupo wodini anapigania maisha yake.

Nataka nikamwambie "BABA NAKUPENDA"before its too late.

Nauliza nyinyi hasa watoto wakiume lini umemwambia mzazi wako NAKUPENDA??
Wadada sometimes mnawezaga.

Muwe na jumapili njema watu wa Mungu.
Vitendo ni mhimu zaidi.mimi nadhani nimeshatamka mara nyingi sana kwa vitendo.unamwambia unampenda halafu hujishughulishi na mahitaji yake.
 
Wote sijakaa nao utotoni hivo sikuwazoea. Mimi ndio yule leo kwa baba mdogo, kesho kwa aunt, keshokutwa kwa mjomba nimehama shule mara kadhaa. Hata kuongea nao kwa simu sio sana, mama nakaa siku nne sijaongea nae kama hakuna issue ila mzee hata mwaka sawa tu tena yeye kunipigia sijui lini mwisho
Ukweli sijakaa kabisa na mama yangu ameniacha kwa baba yangu nikiwa dalasa la pili mpaka nimekutana naye nikiwa na mtu mzima sasa ,muda wote nimelelewa na mama wa kambo mpaka kuwa mtu mzima ..
 

Cheki hapo profile yao Instagram...au search Dr. Boaz Mkumbo Instagram na Facebook utaona makala zake anazofundisha namna ya kutibu kisukari na other autoimmune diseases.

For more clarity mzee akipata nafuu nenda nae clinic wampime ili wajue namna ya kum manage. Au hata kwa sasa wewe binafsi unaweza fika Clinic yao kumuona Dokta akakuelekeza namna ya chakula kinachoweza kumpa nafuu.

Dawa na sindano za insulin husaidia only a small percentage ktk kudhibiti kisukari in the long term. Asilimia kubwa ya kuudhibiti huu ugonjwa iko kwenye namna unavyounda sahani yako ya chakula.
Asante mkuu ngoja tuone akitoka
 
Ukweli sijakaa kabisa na mama yangu ameniacha kwa baba yangu nikiwa dalasa la pili mpaka nimekutana naye nikiwa na mtu mzima sasa ,muda wote nimelelewa na mama wa kambo mpaka kuwa mtu mzima ..
Pole mkuu ndio maisha yalivyo
 
Aii katika kumbukumbu zangu sijawahi tu ... labda wale wa mboga 7 ila sisi mboga 1 siku2 aah hata huo mda hakunaga.. muda wote mchaka mchaka
 
Hahaha ndo hivyo kizazi kile cha tofauti sana. Stori zake sijui nikamaliza middle school nikajiunga darasa la kumi sijui nikamaliza darasa la kumi na mbili nikapangiwa kazi jeshini mara tukachaguliwa kwenda ujerumani magaribi sijui yugoslavia unadhani we we wa form two form three chuo na kusambaza bahasha
,kwenda ulaya mpaka uzamie wao wanachaguliwa tu kazi wanapangiwa tu ,nchi anazokutajia hata hazipo saivi yaani ni dunia tofauti kabisa

Ndo umwambie nakupenda baba dah hata ataanza kukukwepa kukuita muende kwenye vilabu vya komoni pamoja kule nyumbani. Anajua utamtia aibu mbele ya wazee wen zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom