Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwenu mtakua mambo safi ๐๐Hii nafanya sana aisee my Daddy/ dad
Kuita mommy, mom, dady ni viashiria vimoja wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu mtakua mambo safi ๐๐Hii nafanya sana aisee my Daddy/ dad
Hapo kwenye watoto wa kiume ndo mtihni. Kuna siku mwanagu (5) aliniandikia msg kupitia simu ya baba ake kua ananipenda ss sijui ilikuaje kweny kuchagua majina akaituma ile msg kwa bibi ake ambae ni mama mkwe wngu, mama akanipigia akaniambia mwanangu asante sn nimeona msg umenitumi kwa simu ya mumueo nikaguna nikamuuliza msg gan akasem ile uliosema unanipend maana nilivoon ile msg niliju fika ni wewe umetuma maana mwanae hajawahi kumuambiaSiku moja maza kaja kunitembelea kwangu, nikamtoa out tukala nyama akafurahi sana akaniambia Einstein mdogo wako wa mwisho siku moja aliniuliza "mama nlishawahi kukuambia NAKUPENDA?"
Akasema sikutaka kumkatisha tamaa nikamwambia umeshawahi mwanangu.
Dogo akasema "Mama NAKUPENDA"
Maza akasema machozi yalitoka mbele yake.
Wakati ananisimulia nikatafakari mimi mbona sikumbuki lini nilimtamkia neno hilo hata kwenye meseji?
Baada ya mwezi akafariki bila mimi kumtamkia NAKUPENDA hili deni linaniuma sana. Jana nimesafiri kutoka mkoani kuja Dar kujulia hali baba ambeye yupo wodini anapigania maisha yake.
Nataka nikamwambie "BABA NAKUPENDA"before its too late.
Nauliza nyinyi hasa watoto wakiume lini umemwambia mzazi wako NAKUPENDA??
Wadada sometimes mnawezaga.
Muwe na jumapili njema watu wa Mungu.
Naona kueka emoji ya kucheka pekee haitoshi acha ncheke tena ๐๐๐๐๐ wallah taaruki lazima itokee kama mama mkwe alivonichek kunishukuru kwa kumtumia msg ya nampenda akati dogo ndo alikosea. Huku akisema najua kbisa mumeo hawezi tuma hii msgYeah sijawahi kuzoeshwa hivo, kwahiyo siwezi tu kuibuka uzeeni nianze kumwambia nakupenda, ntazua taharuki ๐๐๐๐
๐๐ Nakupenda ya bahati mbayaHapo kwenye watoto wa kiume ndo mtihni. Kuna siku mwanagu (5) aliniandikia msg kupitia simu ya baba ake kua ananipenda ss sijui ilikuaje kweny kuchagua majina akaituma ile msg kwa bibi ake ambae ni mama mkwe wngu, mama akanipigia akaniambia mwanangu asante sn nimeona msg umenitumi kwa simu ya mumueo nikaguna nikamuuliza msg gan akasem ile uliosema unanipend maana nilivoon ile msg niliju fika ni wewe umetuma maana mwanae hajawahi kumuambia
Tujenge desturi ya kuwaambia wazazi tunawapenda
Hii kitu inaanzia mbali, ilitakiwa wazazi watuzoeshe hivyo....labda ndio tuanze sisi kuwazoesha watoto wetu.Tujenge desturi ya kuwaambia wazazi tunawapenda
Kwa kweli hawa watoto wetu tuwafanyie hvyoHii kitu inaanzia mbali, ilitakiwa wazazi watuzoeshe hivyo....labda ndio tuanze sisi kuwazoesha watoto wetu.
Hahahah mie mwenyewe nikiambiwa na mume napendwa namwambia hivi umeeka mambo yako ya urithi wangu vzuri maana design kama unataka kuvuta. Ye anasemaga jua unapendwa ila sio nakupendaMimi hata baby wangu huwa simtamkii neno "nakupenda"
(huwa natumia neno nakuelewa sana)
sembuse nikamwambie mzee wangu " et nakupenda mzee"
Tujikite kwenye matendo zaidi.
How did you feel[emoji848][emoji848][emoji848]Hapo kwenye watoto wa kiume ndo mtihni. Kuna siku mwanagu (5) aliniandikia msg kupitia simu ya baba ake kua ananipenda ss sijui ilikuaje kweny kuchagua majina akaituma ile msg kwa bibi ake ambae ni mama mkwe wngu, mama akanipigia akaniambia mwanangu asante sn nimeona msg umenitumi kwa simu ya mumueo nikaguna nikamuuliza msg gan akasem ile uliosema unanipend maana nilivoon ile msg niliju fika ni wewe umetuma maana mwanae hajawahi kumuambia
Tujenge desturi ya kuwaambia wazazi tunawapenda
Sio kweli mkuu mi mvimba macho tu nanyonywa na serikaliKwenu mtakua mambo safi [emoji23][emoji23]
Kuita mommy, mom, dady ni viashiria vimoja wapo
Baby Zu unapendwa sana... ๐Hahahah mie mwenyewe nikiambiwa na mume napendwa namwambia hivi umeeka mambo yako ya urithi wangu vzuri maana design kama unataka kuvuta. Ye anasemaga jua unapendwa ila sio nakupenda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona kueka emoji ya kucheka pekee haitoshi acha ncheke tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah taaruki lazima itokee kama mama mkwe alivonichek kunishukuru kwa kumtumia msg ya nampenda akati dogo ndo alikosea. Huku akisema najua kbisa mumeo hawezi tuma hii msg
Hili neno lina ugumu gani mbona kizungu mnatamka tu?[emoji23][emoji23] Nakupenda ya bahati mbaya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huyo "baby" ana shida saaaaanaMimi hata baby wangu huwa simtamkii neno "nakupenda"
(huwa natumia neno nakuelewa sana)
sembuse nikamwambie mzee wangu " et nakupenda mzee"
Tujikite kwenye matendo zaidi.
Kwa kua hua namuelew mama mkwe nikamwambia nakupenda kisha usiku nikamfahmish mume wangu awe anamwambia bimkubwa wake anampendaHow did you feel[emoji848][emoji848][emoji848]
Nshaelezea huko juu ugumu ulipo ni hatujajengwa kulitumia....Hili neno lina ugumu gani mbona kizungu mnatamka tu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] acha nipanbane na huyu kwanza[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]Hii kitu inaanzia mbali, ilitakiwa wazazi watuzoeshe hivyo....labda ndio tuanze sisi kuwazoesha watoto wetu.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji851][emoji851]Hahahah mie mwenyewe nikiambiwa na mume napendwa namwambia hivi umeeka mambo yako ya urithi wangu vzuri maana design kama unataka kuvuta. Ye anasemaga jua unapendwa ila sio nakupenda