EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] ngoja nikajaribu ila namsachi kwanzaTena hao ndio wabaya utarushiwa kitu kizito hutakaa uamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] ngoja nikajaribu ila namsachi kwanzaTena hao ndio wabaya utarushiwa kitu kizito hutakaa uamini
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1316][emoji1316][emoji1316]nadhani anajlijua hilo mama sio lazima nitamke maana mara nyingi neno nakupenda huwa wengine tulio kulia tarime kule tunalichukulia kama neno la wanaume wa darisalamu, sisi ni shoo shoo mama anafanyiwa vitendo sio manenio
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] ngoja nikajaribu ila namsachi kwanza
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hawa wazee bhana wamezoea mila.kandamiziDaaah...sijui nianzie wapi, ila kiufupi tu kuiga iga mila na desturi za nchi za magharibi kupitia hizi tamthilia za Wafilipino zinatuponza sana hiki kizazi cha karne ya 21.
Mshua wangu lazima akusindikize na kwenzi ukimtamkia hilo neno "nakupenda"
Kabisa yani anaweza kwenda hadi kusimulia kilabuni aiseeUtashangaa dingi anasema "kijana acha ufalah"
Mkuu funguka aisee[emoji851][emoji851]Mambo mengine bhana.....[emoji2955][emoji849]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa bhanaKwa mama Mzazi naweza kwa ugumu. Dingi hapana aisee. Kwa maza Mkubwa aliyenilea yah naweza kusema maana itakua kwa Kiingereza ila dingi Mkubwa atanipeleka mirembe kabisa maana atahisi nimechanganyikiwa aisee
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji851][emoji851]Haya mambo tuwaachie wazungu,kwa hii ishu "nakupenda" inategemea na malezi.cha msingi tu kuwe na upendo na kujali wazazi inatosha .
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kabisa yani anaweza kwenda hadi kusimulia kilabuni aisee
Anajua tu nampenda inatosha
Kwanza kutamka naweza nkaanza kujiuma kama namtamkia dem wangu wa Kwanza kutongoza. Nilitamka halafu nikatoka baruti[emoji23][emoji23]. Ndo inaweza kuwa hivyo. I wouldnt want to hear Wat he is going to reply
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Kumtamkia siwezi, lakini kumpenda namwonyesha kwa matemdo yangu. Siwezi kumpelekea mzazi wangu kwani hakunikuza kwa culture hiyo.
Culture niliyokua nayo ni kuonyesha upendo, siyo kutamka upendo. Ila kwa waliokuwa katika hiyo culture, wakiacha nayo ni shida nyingine.
Mzee anaweza kukudhania unataka mali zake 😂😂😂Kabisa yani anaweza kwenda hadi kusimulia kilabuni aisee
Anajua tu nampenda inatosha
Kwanza kutamka naweza nkaanza kujiuma kama namtamkia dem wangu wa Kwanza kutongoza. Nilitamka halafu nikatoka baruti😂😂. Ndo inaweza kuwa hivyo. I wouldnt want to hear Wat he is going to reply
Hii nafanya sana aisee my Daddy/ dadHii haina tofauti ukaibuka from no where uka muita mzee "my dady" ata kuweka chini ya uchunguzi kwa nn umuite ivyoo
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Mzee anaweza kukudhania unataka mali zake [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina lakusema kwenye mila na tamaduni ambazo sio za kiAfrika.Mkuu funguka aisee[emoji851][emoji851]
Mkuu.mimi sio kizazi hiki cha nyoka mi long time kitambo late 70'ssSina lakusema kwenye mila na tamaduni ambazo sio za kiAfrika.
Kwakweli uzungu huo miesina, labda kwa kizazi chenu kilichopangwa kwa vidonge na sindano
Sawa mkuuMkuu.mimi sio kizazi hiki cha nyoka mi long time kitambo late 70'ss
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Sawa mkuu