baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Hatari hahahaha ila nyie jaman mjue tu tunapend mtuambie mnavoweuka juu yetuBaby Zu unapendwa sana... 😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari hahahaha ila nyie jaman mjue tu tunapend mtuambie mnavoweuka juu yetuBaby Zu unapendwa sana... 😉
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] dingi anaweza nirushia hata dripAah hiyo inawezekana kwa mtoto wa kike ila sidhani kwa wanaume kama ni rahisi
Namsachi kwanza aiseeYani umwambie babako nakupenda!? Hakika aspokupiga ngeu ni bahati.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756] so good feelings [emoji2957][emoji41][emoji41][emoji41]Kwa kua hua namuelew mama mkwe nikamwambia nakupenda kisha usiku nikamfahmish mume wangu awe anamwambia bimkubwa wake anampenda
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Nshaelezea huko juu ugumu ulipo ni hatujajengwa kulitumia....
Sinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huyo "baby" ana shida saaaaana
Ila kama mambo mengine yanaenda fresh , we feel the loveSinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...
Huwezi kuwa mzuri katika kila nyanja, acha mtoto aendelee kuvumilia hiyo shida.
Mkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]Sinaga maneno matamu kabisa, vitu vingine tunawaachia nyie...
Huwezi kuwa mzuri katika kila nyanja, acha mtoto aendelee kuvumilia hiyo shida.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Ila kama mambo mengine yanaenda fresh , we feel the love
[emoji2958][emoji2958][emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]yani hata kumwambia mshkaji usiku mwema huo ni ushoga.
ni sawa kumwambia mama nakupenda lakini siwezi mwambia mzee nakupenda anaweza akaniua
Mkuu nitafanya hivyo, nitageuka poet 😀Mkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Mkuu nitafanya hivyo, nitageuka poet [emoji3]
Shukrani sana mkuu.
Wasalimie TALEBANI[emoji851][emoji851][emoji851]nasoma comments
Asijaribu maana itabidi aeleeze vzri hyo msg aliyokese ilikua inaenda wapi😂😂😂😂Mkuu.heb msapraisi siku.moja najua atahisi sms sio yako[emoji851][emoji851]
Wazee wetu hawa kizazi cha Mkoloni waliokua wanasoma mpaka darasa la kumi sijui mido school noma sabaMzee anaweza kukudhania unataka mali zake 😂😂😂
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nipo bongo nowWasalimie TALEBANI[emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] atasema mtoto alikua anachezea simu mbona freesh tuAsijaribu maana itabidi aeleeze vzri hyo msg aliyokese ilikua inaenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] we jamaa bhanaWazee wetu hawa kizazi cha Mkoloni waliokua wanasoma mpaka darasa la kumi sijui mido school noma saba
Haya mambo labda watoto wetu ndo wataweza sio sisi