Lini Tanzania itaruhusu matumizi ya Paypal?

Kwa kweli tupo nyuma sana. Kama mimi nilifanya kazi na mtu wa nje huko akaniambia anilipe kwa njia gani, ikabidi nimuambie atumie money gram hamna namna.
 
Kwan hiz benki za hapa nchin hazilioni hili
Yaaan hata nashindwa kujua ugum uko wap
Labda watuambie ili tujue..
 
Inaruhusu kwa sasa mkuu, pay pal wameungana na CRDB Bank so unaweza kutoa pesa yako na kwenda bank kuchukua, wanacharge $2.3 kwa transaction ya mpaka $5000
 
Habari wanajamvi.
Binafsi naifahamu njia ya malipo ya online ijulikanayo kama PAYPAL inatumika katika kulipia na kupokea malipo kutoka nje ya nchi.
Sintofahamu imekuja wakati nimefanya kazi ya mtu Online na alikuwa anataka kunilipa kwa PAYPAL lkn ikashindikana.
Maswali yangu ni Je hii njia haifanyi kazi hapa nchini?je ni njia gani Naweza kutumia niipate hii ela?au kuna jinsi naweza kufanya ni enable PAYPAL?
 
Pole mkuu Kuna tatizo kwa watendaji kazi online ziko kibao shida inakuja namba ya ku kukulipa wengi watoa kazi online hutaka kukulipa kwa PayPal ukifanya kaxi.Huku kwetu unakuta hakuna na wao kule wanasema to hell with you.Serikali ibadilike kwenye hili.Hata Bidhaa zetu tungeweza ziweka online tunauza online na kulipwa kwa PayPal Kisha unazipeleka .Mtu anachagua Bidhaa online kiwe kinyago,nk ananunua kwa KU click tu pesa inaingia unampelekea mzigo wake
 
Mkuu tufanye nini ili kuaddress ili suala kwa wahusika na kuhakikisha limefika sehemu sahihi tunayoweza kupata majibu?
 
chanzo cha taarifa?
Inaruhusu kwa sasa mkuu, pay pal wameungana na CRDB Bank so unaweza kutoa pesa yako na kwenda bank kuchukua, wanacharge $2.3 kwa transaction ya mpaka $5000
 
aina gani ya account umefungua?
Inaruhusu kwa sasa mkuu, pay pal wameungana na CRDB Bank so unaweza kutoa pesa yako na kwenda bank kuchukua, wanacharge $2.3 kwa transaction ya mpaka $5000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…