Ni wajibu wetu kama taifa kusaidia ndugu zetu Palestina katika hali ya huzuni waliyonayo kama tulivyofanya Malawi hata Zimbabwe. Na karibuni Uturuki.
Tumeona wanachama wa Arab league wamepeleka vyakula na nguo. Sisi lini tunapeleka mifugo na msaada wa ushauri nasaha (counselling)?
NB: Katika msafara wa kusafirisha misaada hiyo wajumbe 50 lazima watokee Zanzibar.
Wabillah Taufiq
Tumeona wanachama wa Arab league wamepeleka vyakula na nguo. Sisi lini tunapeleka mifugo na msaada wa ushauri nasaha (counselling)?
NB: Katika msafara wa kusafirisha misaada hiyo wajumbe 50 lazima watokee Zanzibar.
Wabillah Taufiq