ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Jaman ligi yetu kama mnavyoiona kila siku inazidi kukua.
Pili kwa macho ya mbali ndio inaweza kuja kuwa ligi ya tatu kwa ukubwa hasa kwa kuwavutia wachezaji wa kigeni tokana na kaliba au asili ya watanzania kuwa waungwana na wakarimu kwa wageni bila ubaguzi,hichi ambacho wachezaji wengi wa kigeni hukikosa kwa mataifa mengine ya kiafrika
Tatu azam Tv anaweza ipaisha hii ligi kuwa kivutio kwa kuanzia afrika mashariki,afrika ya kati mpaka kusini iwapo tu kukiwa na miundo mizuri ya viwanja hivyo ligi ikavutia kuangaliwa na kibiashara pia na hata serikali kujitangaza.
Au nyie ndugu zangu mnalionaje hili..?
Pili kwa macho ya mbali ndio inaweza kuja kuwa ligi ya tatu kwa ukubwa hasa kwa kuwavutia wachezaji wa kigeni tokana na kaliba au asili ya watanzania kuwa waungwana na wakarimu kwa wageni bila ubaguzi,hichi ambacho wachezaji wengi wa kigeni hukikosa kwa mataifa mengine ya kiafrika
Tatu azam Tv anaweza ipaisha hii ligi kuwa kivutio kwa kuanzia afrika mashariki,afrika ya kati mpaka kusini iwapo tu kukiwa na miundo mizuri ya viwanja hivyo ligi ikavutia kuangaliwa na kibiashara pia na hata serikali kujitangaza.
Au nyie ndugu zangu mnalionaje hili..?