Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Siku zingine upunguze kuzungumza mambo kiushabiki, nadhani umeshajijua kwamba umekwama

Bro you are wasting your valuable time to argue with a person fool of emotions. I suspect the following to this guy

Wyatt Mathewson

Is either a pregnant, or if he is a men, unfortunately his brain is female.​

 

In a behavioural studies, the person (man) who behaves like the way you do, possess a female brain.
Always you talk with full of emotions.
😁😁😁

Btw, I was reminding the guy not to waste his precious time to discuss with a person who likes to argue in moody and temperance.
 
Wakenya wenye akili wanalitangaza hili. Kuifanya Tanzania kama vielelezo.
 
Hahahaha, kati ya mimi na PLO nani aliyeanza kusema?

Kwanza PLO hawamfagiliagi kwa sababu anaongea ongea mambo ya kina Nyerere, Kwame Nkurumah, Lumumba et al. Yeye anaongea kuhusu umoja wa Afrika na kujitambua kwa waAfrika ya kuwa hatuna mjomba ambaye atakuja kutusaidia. Tuungane na kupambana wenyewe.
Sasa wakenya wengi kwa kukosa utambuzi, hawapendi hayo maneno yake. Hawapendi kwa sababu PLO hawafagilii na hata sifii mabeberu🐐🐐🐐. Hilo kwa wakenya ni tatizo. Unaongea halafu husifii beberu🐐.
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…