Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Nini Kenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ?, mbona unaongea kama umekatwa kichwa ?, au ndio nyie huwa mnaacha akili zenu kwa polepole na bashiru wawatunzie

huoni kwa sababu siku zote hujikubali.unaamini watu fulani ni bora milele.
 
Nani amekwambia marekani wameiba kura?

Where is the damn evidence?

Na huku kwetu ni heri wangeiba kura pekee yake,mnaua raia wenu wenyewe!

Fvck yall

wacha kiendekeza stress,utawehuka.

siku ukikua utaelewa wameibaje.kwa sasa endelea kuishi ndotoni.
 
Ila sio Kama hivi
kura zinaibiwa mpaka marekani kwenye asili ya democrasia.sembuse huku kwenye wapinzani wasela mavi.
Screenshot_20201101-095851.jpg
 
Wewe sio Mmarekani

Plus huishi America

Hujawahi fika America for godsakes....

Haupo kwenye investigation team,haujakwenda mahakamani hukumu ikatolewa ikawa declared on the records kwamba indeed wameiba kura kdhaa wa kadhaa na alieiba ni so and so...

Then upo hapo Mburahati unanyeshewa mvua kwenye vibanda kuinama,kwa bahati mbaya kuna kasalio ka bando in your phone by accident,eti unaielewesha US kuna mtu kaiba kura with 100% uncertainity as if una ushahidi

Kwendraaah huko....

Tupo hapa duniani kujifunza kutoka kwenye mataifa yenye walao ahueni zaidi ya mengine,Marekani ina ahueni,sio perfect ila ina ahueni....sio sawa na mauchafu yenu ya TZ au China au North Korea,Burundi na uchafu wa Uganda huko

Kafie huko FBI wa Mburahati

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aisee!!
 
Hapa hapa dar
Halafu anasimama mtu pale bungeni anasema ameshinda kwa kishindo na anakula kiapo cha utii huku amshika kitabu kitakatifu !!!, tunailaani nchi bila kujua, mpaka askofu (msanii gwajiboy) nae anashiriki uovu huu halafu kesho anaenda kuwaongozea watu Ibada.
 
my friend mie nishaishi tz kwa mwezi mzima na kwa kusema kweli mko nyuma, habari hizi za watu mashuhuri maisha yao kuwa hatarini huwa tunayapata kwenye mitandao ambayo ni ya kujificha ficha tuu, lakini huwezi sikia ikitangazwa na mashirika ya kiserikali au kampuni zilizosajiliwa kikamili...tazama mimi ninavoweza kuandika kiswahili sanifu kadri ya uwezo wangu napia tukiingia kiingereza nimebobea vivyo hivyo, But for a tz you can only communicate in swahili and thats it...yaani nyie wapumbavu saana aisee
Kwahiyo kujua kuzungumza kiingereza kwako ndio unadhani ni muhimu kuliko kuzalisha chakula?, wakati Kenya mnapoteza muda wenu kujifunza lugha ya mabwana zenu, sisi tunatumia muda huo kuzalisha chakula, kupambana na rushwa, kuimarisha usalama nchini mwetu, kupambana na ukabila, na kujenga umoja wa kitaifa.

Ninyi huko hamjui Kiswahili vizuri, Kiingereza nacho ni 40% ndio wenye kukijua vizuri. Nchi gani ambayo kila kabila inarusha matangazo ya redio kwa kutumia lugha ya kabila Lake kama sio primitive country like Kenya?
 
Nani amekwambia marekani wameiba kura?

Where is the damn evidence?

Na huku kwetu ni heri wangeiba kura pekee yake,mnaua raia wenu wenyewe!

Fvck yall
Kwahiyo Trump na wafuasi wake wakilalamika kwamba kura zimeibiwa mnaomba watoe evidence, ila Tundu Lissu na wenzake wakisema kura zimeibiwa mnakubaliana nao moja kwa moja hamuhitaji evidence.

Taja idadi ya watanzania waliouliwa Tanzania (with evidence) katika uchaguzi uliopita. Kenya uchaguzi wa 2017 watu 67 waliuliwa na polisi, zaidi ya wakenya 40 wameuliwa na polisi katika kipindi hiki cha Corona, na bado wengine wanaendelea kuuliwa.
 
Mimi Mtanzania.....Tanzania hakuna ukabila?

Its crazy tunaua makabila yetu sababu tumesha criminalize tribes...mnataka kila mtu awe Mswahili

Makabila yetu 250 yameshakufa,nchi nzima ni kabila la Waswahili

Tumeua makabila yetu na tamaduni zetu kwasababu kuna mpumbavu mmoja kasema kabila ni dhambi!

Mtu kumpenda mtu anampenda au kumchukia mtu anamchukia,doesnt matter yupo kabila gani

Makabila mmeua,then zitafata sababu zingine,unatoka mkoa gani?wewe dini gani?wewe mbona mfupi?wewe hujui kingereza?wewe mweusi?wewe mweupe?...

Tumeua lugha zetu za asili,mila zetu makabila yetu..wote tumekua Waswahili vichaa....soon enough tutaingia sababu zingine....

Ubaguzi upo pale pale tunabadili chapter na vigezo tu!
Huna sababu ya kujitambulisha wewe ni nani, huko ni kutojiamini. Sina sababu ya kuendelea kujibishana na mtu ambaye hajui tofauti kati ya "ukabila vs Kaila" (tribe vs tribalism), nenda kajipange uje kivyengine
 
Evidence za kuiba kura on national TV zipo...za kutosha

Watu kuuawa evidence zipo on live camera....

Stop unafiki wewe kiumbe!

Na kesi ipo mahakamani,kila kitu kitaonyeshwa huko na nyie mtajibu!

Kaa tayari
Kumbe ushahidi unapelekwa kwenye TV stations sio mahakamani?, kumbe mwenye kuthibitisha kuwa kuna wizi au hakuna ni TV sio mahakama?, kweli akili sio nywele.
 
Wewe sio Mmarekani

Plus huishi America

Hujawahi fika America for godsakes....

Haupo kwenye investigation team,haujakwenda mahakamani hukumu ikatolewa ikawa declared on the records kwamba indeed wameiba kura kdhaa wa kadhaa na alieiba ni so and so...

Then upo hapo Mburahati unanyeshewa mvua kwenye vibanda kuinama,kwa bahati mbaya kuna kasalio ka bando in your phone by accident,eti unaielewesha US kuna mtu kaiba kura with 100% uncertainity as if una ushahidi

Kwendraaah huko....

Tupo hapa duniani kujifunza kutoka kwenye mataifa yenye walao ahueni zaidi ya mengine,Marekani ina ahueni,sio perfect ila ina ahueni....sio sawa na mauchafu yenu ya TZ au China au North Korea,Burundi na uchafu wa Uganda huko

Kafie huko FBI wa Mburahati
Kumbe Tanzania mahakama ilishathibitisha kwamba Tanzania so and so wameiba kura?. Ninyi wakenya ndio sababu wanaume wenu wakiolewa na wazungu huwa mnafurahia Wiki nzima, hamna akili kabisa ninyi.
 
Nimekwambia ushahidi tumepeleka kwenye TV?

Unajua kusoma Kingereza kweli mzee?

Nimekwambia wizi wa kura ushahidi upo apart na kuonekana kwenye live national TV..

Sasa sentensi inasema ushahidi ulipelekwa kwenye TV mahususi?

Jeeez
Wacha upimbi wewe zuzu, umesema ushahidi upo wazi katika TV unaonekana, wakati huohuo unasema huko Marekani hakuna mahakama iliyokwisha kutoa maamuzi na kumtaja so and so kwamba ameiba kura

Huku Tanzania unatumia ushahidi wenye kuonekana katika TV, ila Marekani unataka mahakama ndio ithibitishe na kuwataja so and so kwamba wameiba kura, stop your hypocrisy.
Tafadhali stop your stupidity of referring English language, sisi sio watumwa na wapumbavu kama ninyi mnaoithamini hiyo lugha ya mabwana zenu.
 
Ukishakua na tribes basi una tribalism...acha nonsense

Hii myth eti Tanzania hatuna tribalism ni nonsense....

Tribalism ipo kinachotofautiana na Kenya ni kiwango tu...ila kote tribalism ipo..

Tanzania tumeua makabila tumevamia kabila la watu linaloitwa kabila la Waswahili..

What a loss!
Kwahiyo Tanzania hakuna makabila?, hivi wewe una akili kweli?. Tanzania kuna makabila zaidi ya 121, wachagga, wapare, wanyamwezi, wajaluo, wahehe, wasukuma, wangoni.... Ila hatubaguani wala hatuchaguani kutokana na makabila yetu.

Tanzania ni nchi pekee hapa Africa ambayo imefanikiwa kufuta ukabila, japo wakenya mnaona wivu Sana mkuambiwa kwamba Tanzania haina ukabila, mnajaribu kutumia kila aina ya maneno kuonyesha kwamba Tanzania pia kuna ukabila, lakini endeleeni kuumia, sisi huku hakuna ukabila kabisa.
 
Tanzania hakuna cha kujivunia kuhusu corona.Tanzania iliachwa wa kufa afe, Kenya ilijaribu kutumia mbinu ghali za kulinda raia ila bahati mbaya hazikufanikiwa.
Hahahaha bahati mbaya ndio ina maana kwamba kwa bahati mbaya zaidi ya dollars billion 2 Takribani trillion 4 za kitanzania walizokopa kupambana na Corona zimeyeyuka na bado madaktari wanakufa kwa kukosa vitanda hospital na misharaha so hii ni bahati mbaya?

Then Tanzania isio na mgonjwa hata mmoja na haijakopa hata cent ndio iwe chini ya Kunyaland kwenye hili la Corona? Kweli we taahira
2617558_tapatalk_1605543110901.jpeg
 
Back
Top Bottom