Lini Watanzania tutaamka na kusema IMETOSHA?

Dunia haina huruma na watu masikini raslimali tele zimejaa wekeza kwenye akili uzivune nawe uwe kama wao
 
Watz wepi hawa ambao wanafeed brain zao ngono,simba na yangu, freemason Toka asubuhi had jioni ndio wataleta changes!
You is what you think.
 
🌤️🙋‍♂️🎯✍️🤝👏🙏🎁
 
Kwahiyo nisiwasemee watu ili mpate kuwadhulumu sawasawa, CCM bwana.
Wow! Kwani nani amekusemea wewe? Hao watu ni wapi wasiojulikana? Kwani wamekutuma au umejituma? Kama huna hoja si unyamaze tu.
 
Bongo mtu akipewa cheo anatengeneza retention pattern. Hataki kwenda kinyume na waliompa cheo hata kama watakuwa wanam mislead. Hio ni aina ya cancer ambayo Watanzania wengi tunayo na yote ni sababu ya njaa. Njaa imetufumba akili kiasi cha kwamba tupo radhi hata kulamba mavi ili tu tuendelee kuwepo kwenye nafasi.

Zama za Nyerere kulikuwa na Patriotism ya hali ya juu. Endapo mtu alikuwa hafurahishwi na mwenendo wa serikali alikua na option ya kujiuzulu ili tu kulinda integrity yake. Sikuhizi hilo halipo, ni mwendo wa kusifu na kumuabudu mwenyekiti. Siasa zimekuwa sio za kujenga hoja na kuzitetea bali ni za upambe nuksi. Yote hio sababu ya ufisadi na rushwa zilizokithiri na kutengeneza mithili ya food chain kwenye chama. Siasa za makundi na vibaraka ni hasara tupu.
 
Wow! Kwani nani amekusemea wewe? Hao watu ni wapi wasiojulikana? Kwani wamekutuma au umejituma? Kama huna hoja si unyamaze tu.
Wewe ni typical CCM mnachukia sana kuona watu wakisaidiwa na wengine.
 
Wewe uliishamka?
 

We wacha tu. Leo Wasira anadai kuwa Watanzania tuna njaa. Hili ni tusi kubwa sana na dharau kwa Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…