Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
- Thread starter
- #61
Kwani hwajui? Mbona wewe unajua? Usiwasemee watu kana kwamba ni wanyama au vichanga mwanangu.Wacha watu wajue chanzo cha matatizo yao kipo wapi itawasaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hwajui? Mbona wewe unajua? Usiwasemee watu kana kwamba ni wanyama au vichanga mwanangu.Wacha watu wajue chanzo cha matatizo yao kipo wapi itawasaidia.
Ufipa kulikuwepo uchaguzi gani mkuu,Vp ukiulizwa kuhusu rushwa na uzandiki kwenye uchaguzi wa juzi pale ufipani a.k.a unyumbuni?!!
🌤️🙋♂️🎯✍️🤝👏🙏🎁Viongozi ni kioo cha wananchi Mkuu.
Ukiona viongozi wa jamii Fulani ni wajinga, wezi, Wala rushwa au sifa zozote zile mbaya elewa jamii wanayotoka kwa sehemu kubwa ndio iko hivyo.
Jamii yenu akili haiwezi kuongozwa na kiongozi Mjinga
Jamii ya Watu waadilifu haiwezi kuongozwa na kiongozi asiye muadilifu
Tafakari
Kwahiyo nisiwasemee watu ili mpate kuwadhulumu sawasawa, CCM bwana.Kwani hwajui? Mbona wewe unajua? Usiwasemee watu kana kwamba ni wanyama au vichanga mwanangu.
Wow! Kwani nani amekusemea wewe? Hao watu ni wapi wasiojulikana? Kwani wamekutuma au umejituma? Kama huna hoja si unyamaze tu.Kwahiyo nisiwasemee watu ili mpate kuwadhulumu sawasawa, CCM bwana.
Wewe ni typical CCM mnachukia sana kuona watu wakisaidiwa na wengine.Wow! Kwani nani amekusemea wewe? Hao watu ni wapi wasiojulikana? Kwani wamekutuma au umejituma? Kama huna hoja si unyamaze tu.
Ameandika falsafa kubwa ambayo ukiwa punguani mnafiki, kama ulivyo, hutaelewa kitu, kama ilivyokutokea.Umeandika ujinga tupu
Wewe uliishamka?Ukiniuliza kama Tanzania ina kiongozi, nitajibu kuwa ina rais lakini si kiongozi. Ukiuliza kama Tanzania ina sera, nitakujibu kuwa ipo sera ya uchawa.
Ukiuliza, kiuchumi Tanzania inaongozwa na nini, nitakujibu kuwa sera yake ni ya shamba la bibi ambapo wezi huja na kugema watakavyo.
Ukiuliza kama Tanzania ni salama, nitakushauri ufanye utafiti na kuassess utekaji na kuporomoka kwa majengo.
Ukiuiza kama Tanzania ina future, nitakujibu kuwa hata past haina. Kama mwanafalsafa, nawaza tu.
Ukiuliza kama serikali inakusanya kodi na kuzitumia vizuri, nitakujibu kuwa inawakamua maskini na kuwapa matajiri wakwepa kodi na wapiga dili wanaoshirikiana na wanasiasa mafisi.
Ukiniuliza kama Tanzania ni kisiwa cha amani, nitakujibu kuwa ni kisiwa cha vurugu kinachongoja kulipuka.
Kwa wananchi wanavyoteseka huku watawala wakitanua, Tanzania inaweza kuzidiwa na hata Somalia.
Je, ni lini watanzania wataamka na kusema katu kuwa inatosha?
SanaTumezidi ujinga mno
Ukiniuliza kama Tanzania ina kiongozi, nitajibu kuwa ina rais lakini si kiongozi. Ukiuliza kama Tanzania ina sera, nitakujibu kuwa ipo sera ya uchawa.
Ukiuliza, kiuchumi Tanzania inaongozwa na nini, nitakujibu kuwa sera yake ni ya shamba la bibi ambapo wezi huja na kugema watakavyo.
Ukiuliza kama Tanzania ni salama, nitakushauri ufanye utafiti na kuassess utekaji na kuporomoka kwa majengo.
Ukiuiza kama Tanzania ina future, nitakujibu kuwa hata past haina. Kama mwanafalsafa, nawaza tu.
Ukiuliza kama serikali inakusanya kodi na kuzitumia vizuri, nitakujibu kuwa inawakamua maskini na kuwapa matajiri wakwepa kodi na wapiga dili wanaoshirikiana na wanasiasa mafisi.
Ukiniuliza kama Tanzania ni kisiwa cha amani, nitakujibu kuwa ni kisiwa cha vurugu kinachongoja kulipuka.
Kwa wananchi wanavyoteseka huku watawala wakitanua, Tanzania inaweza kuzidiwa na hata Somalia.
Je, ni lini watanzania wataamka na kusema katu kuwa inatosha?