Lionel Messi asimamishwa kazi PSG kwa wiki mbili

Lionel Messi asimamishwa kazi PSG kwa wiki mbili

Hakuletwa pale kwa ajili ya biashara, aliletwa pale kwa ajili ya kuisaidia timu kuweza kubeba Champion league JAMBO ambalo 100% amefail.
hivi sasa jamaa hawana mpango kabisa wa kumuongeza mkataba,
Mbona unakua mgumu kuelewa? soma tena comment yangu #16 nimeweka wazi kabisa kua nimeongelea upande wa Kibiashara hakuna sehemu yeyote niliyoongelea kuhusu Individual performance,

Messi amecheza UCL ngapi akiwa na PSG mpaka useme 100% amefeli,PSG haijawahi kuchukua UCL hivyo ulitegemea Messi peke yake ndio aipe UCL?
 
Mbona unakua mgumu kuelewa? soma tena comment yangu #16 nimeweka wazi kabisa kua nimeongelea upande wa Kibiashara hakuna sehemu yeyote niliyoongelea kuhusu Individual performance,

Messi amecheza UCL ngapi akiwa na PSG mpaka useme 100% amefeli,PSG haijawahi kuchukua UCL hivyo ulitegemea Messi peke yake ndio aipe UCL?

ndio kazi aliyoletewa pala akawa analipwa nealy 1 m a week including bonus
 
Hakuletwa pale kwa ajili ya biashara, aliletwa pale kwa ajili ya kuisaidia timu kuweza kubeba Champion league JAMBO ambalo 100% amefail.
hivi sasa jamaa hawana mpango kabisa wa kumuongeza mkataba,
Hivi kikosi Cha PSG umekiona? Ukiondoa Mbape, Messi, Neymar na kipa wengine waliobaki ni wachezaji wa kawaida sana sasa unategemea uchukue Champions league kwa wachezaji wa5? Pia Kocha timu imemzidi Hana uwezo wa kuifikisha kwenye mafanikio zaid ya kubeba hiyo league Yao tu
 
Hivi kikosi Cha PSG umekiona? Ukiondoa Mbape, Messi, Neymar na kipa wengine waliobaki ni wachezaji wa kawaida sana sasa unategemea uchukue Champions league kwa wachezaji wa5? Pia Kocha timu imemzidi Hana uwezo wa kuifikisha kwenye mafanikio zaid ya kubeba hiyo league Yao tu

AYO unasema wewe, lakini Dunia ilishaaminishwa kuwa Messi Pekee anabebesha mataji timu.
 
Yap ndio maana nikasema mpira sasa ni biashara
Ila kiuhalisia uwanjani messi ameshaisha hamna kikubwa atakupatia kwa sasa ndio maana hata barca walimuachia

barca walimuachia kwa financial reasons, Hawakutaka kumuacha. Messi hajaisha, anaisaidia sana psg kwenye ligi yao. Na ndio maana hata psg wanataka kumbakisha.
 
Ttz mpira umekuwa biashara sana mtu kama messi kwa umri wake ameshashinda karibia kila kitu unamchukua na kumlipa mapesa mengi kwa kipi hasa wakati uhakika wa kukupatia hata goli 20 kwa msimu hana
Cheki sasa kaamua kwenda kupiga ndondo saudia

messi ana msaada mkubwa sana pale psg kwa assist na goli zake na psg bado wanamuhitaji sana. Ni kama de bruyne pale man city.
 
Hakuletwa pale kwa ajili ya biashara, aliletwa pale kwa ajili ya kuisaidia timu kuweza kubeba Champion league JAMBO ambalo 100% amefail.
hivi sasa jamaa hawana mpango kabisa wa kumuongeza mkataba,

labda useme yeye ndo hana mpango. Psg bado wanamuhitaji sana.
 
labda useme yeye ndo hana mpango. Psg bado wanamuhitaji sana.

unaishi kwendye ndoto mkuu, PSG hawana mpango wa kumuengeza mkataba yeye pamoja na shoga yake Neymar nae ameshwekwa sokoni.
 
Back
Top Bottom